Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FORBES lamtaja mwanamichezo tajiri

MCHEZAJI mkongwe wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Michael Jordan ndiye mwanamichezo pekee bilionea ulimwenguni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani

Bwenyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates ndiye tajiri nambari moja duniani

 

10 years ago

GPL

FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI

Mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates. Bwanyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft , Bill Gates, ndiye tajiri nambamoja duniani kwa mwaka wa pili mfululizo. Kwa mujibu wa takwimu za jarida la Forbes ambalo huchapiShwa mara moja kila mwaka, Bill Gates ameorodheshwa kumiliki zaidi ya dola bilioni 79.2. Mfanyibiashara kutoka Mexico, Carlos Slim… ...

 

10 years ago

Bongo5

Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!

Mohammed Dewji ndiye mtu tajiri zaidi nchini Tanzania, kwa mujibu wa orodha ya mwaka 2015 ya mtandao wa Forbes wa mabilionea 32 barani Afrika. Awali ni Rostam Aziz ndiye aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Forbes, Dewji mwenye umri wa miaka 39 ana utajiri wa dola bilioni 1.3. Utajiri huo unamfanya mfanyabiashara huyo ambaye […]

 

9 years ago

Michuzi

HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE

Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi  kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri  wakubwa na  maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana.  Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na   maskini akiwepo  na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini  na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Jarida la ‘Ventures Africa’ lamtaja Dewji bilionea namba moja Tanzania

Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39), ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na Rostam Aziz (49). Kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Ventures Africa lililotolewa jana, wafanyabiashara hao ndiyo Watanzania pekee waliongia kwenye orodha ya mabilionea 55 barani Afrika. Dewji, ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Floyd mwanamichezo anayelipwa zaidi

Floyd Mayweather Jr ndiye mwanamichezo aliyeingiza pesa nyingi katika kipindi cha miezi 12 iliyopita jarida la Forbes laeleza.

 

10 years ago

Mwananchi

Shelda anyakua Tuzo Mwanamichezo Bora

 Mwanasoka Shelda Boniface amewapiku bondia Francis Cheka na nyota wa Azam, Erasto Nyoni kwa kunyakua Tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Mwaka wa Taswa.

 

9 years ago

GPL

AMBER ROSE ATOKA NA MWANAMICHEZO ODELL BECKHAM

Amber Rose atoka na Mwanamichezo Odell Beckham Jr. Mwanamichezo Odell Beckham Jr New York, Marekani INAONEKANA mwanamitindo nyota wa Marekani, Amber Rose (31), ameachana moja kwa moja na mumewe, Wiz Khalifa, kwani inasemekana mrembo huyo ameanza uhusiano wa kimapenzi na mchezaji wa timu ya New York Giants, Odell Beckham Jr.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani