FORBES lamtaja mwanamichezo tajiri
MCHEZAJI mkongwe wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Michael Jordan ndiye mwanamichezo pekee bilionea ulimwenguni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani
Bwenyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates ndiye tajiri nambari moja duniani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5Odw9fgRj5OPdvAM3*Fs4gXrwbrj3h0oRaq5wH2GFP*sd*zOTPtRyKyvaSr6igurjcycrTFYb1crcI9mEYw4su-t/11021250_946535928725068_3604363840028674416_n.jpg?width=650)
FORBES: BILL GATES NI TAJIRI NAMBA MOJA DUNIANI
Mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates. Bwanyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft , Bill Gates, ndiye tajiri nambamoja duniani kwa mwaka wa pili mfululizo. Kwa mujibu wa takwimu za jarida la Forbes ambalo huchapiShwa mara moja kila mwaka, Bill Gates ameorodheshwa kumiliki zaidi ya dola bilioni 79.2. Mfanyibiashara kutoka Mexico, Carlos Slim… ...
10 years ago
Bongo503 Mar
Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!
Mohammed Dewji ndiye mtu tajiri zaidi nchini Tanzania, kwa mujibu wa orodha ya mwaka 2015 ya mtandao wa Forbes wa mabilionea 32 barani Afrika. Awali ni Rostam Aziz ndiye aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Forbes, Dewji mwenye umri wa miaka 39 ana utajiri wa dola bilioni 1.3. Utajiri huo unamfanya mfanyabiashara huyo ambaye […]
9 years ago
Michuzi03 Sep
HAJA YA HOJA: NI LINI TAJIRI AKAPENDA MASKINI AKAWA TAJIRI KAMA YEYE
Ni jambo lilo wazi kuwa watu wote hawawezi kuwa sawa, hivyo watu wote hawawezi kuwa matajiri. Hivyo kulipo na matajiri wakubwa na maskini nao ni wengi. Kwa sababu tajiri na maskini wanategemeana. Utajiri hauwezi kuwepo bila kuwepo umaskini.Kwa mantiki hiyo ili tajiri awepo maskini lazima awepo na maskini akiwepo na tajiri atakuwepo, wote wanategemeana. Kanuni hii ni kwa watu na hata nchi.Ni kweli matajiri wanachukia umaskini na maskini wenyewe wanatamani utajiri. Hivyo si rahisi kwa...
10 years ago
Bongo513 Nov
Jarida la ‘Ventures Africa’ lamtaja Dewji bilionea namba moja Tanzania
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39), ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na Rostam Aziz (49). Kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Ventures Africa lililotolewa jana, wafanyabiashara hao ndiyo Watanzania pekee waliongia kwenye orodha ya mabilionea 55 barani Afrika. Dewji, ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya […]
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Floyd mwanamichezo anayelipwa zaidi
Floyd Mayweather Jr ndiye mwanamichezo aliyeingiza pesa nyingi katika kipindi cha miezi 12 iliyopita jarida la Forbes laeleza.
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Shelda anyakua Tuzo Mwanamichezo Bora
 Mwanasoka Shelda Boniface amewapiku bondia Francis Cheka na nyota wa Azam, Erasto Nyoni kwa kunyakua Tuzo ya Mwanamichezo Bora wa Mwaka wa Taswa.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MAIN-Amber-Rose-has-a-new-man-Odell-Beckham-Jr.jpg)
AMBER ROSE ATOKA NA MWANAMICHEZO ODELL BECKHAM
Amber Rose atoka na Mwanamichezo Odell Beckham Jr. Mwanamichezo Odell Beckham Jr New York, Marekani INAONEKANA mwanamitindo nyota wa Marekani, Amber Rose (31), ameachana moja kwa moja na mumewe, Wiz Khalifa, kwani inasemekana mrembo huyo ameanza uhusiano wa kimapenzi na mchezaji wa timu ya New York Giants, Odell Beckham Jr.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania