Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bill Gates anywa maji ya kinyesi

Bill Gates amekunywa maji yaliyotengezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya ya maji safi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Bill Gates anywa maji ya kinyesi cha binadamu.

Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.

Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.

Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.

Kulingana na shirika hilo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Mwananchi

Msaada wa Bill Gates kunufaisha wakulima

Taasisi ya kimataifa ya bilionea Bill Gates na mkewe Melinda, Bill & Melinda Gates Foundation, imetoa Dola 6 milioni za Marekani ambazo ni Sh10.8 bilioni ili kusaidia mradi wa kuboresha kilimo cha ndizi na viazi vitamu Tanzania, Uganda na Ethiopia.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rick Ross — Bill Gates

While he readies his new album Black Market, Rick Ross continues to roll out new music and videos. Fresh off his remixes to “White Iverson” and “Stick Talk,” Rozay debuts a video for “Bill Gates” off September’s Black Dollar mixtape. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Bill Gates kusaidia kupambana na Ebola

Mfuko wa Bill na Melinda Gates kuchangia dola milioni 5.7 kupambana na Ebola

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Bill Gates talks Africa with the BBC

US billionaire discusses aid and corruption

 

11 years ago

Habarileo

BRN yampongeza Bill Gates kusaidia kilimo

NAIBU Mtendaji Mkuu anayeshughulikia Kilimo katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Peniel Lyimo ameipongeza taasisi ya Bill and Melinda Gates kwa kusaidia maboresho ya sekta ya kilimo nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Forbes:Bill Gates ni tajiri zaidi duniani

Bwenyenye mmiliki wa kampuni ya kutengeneza kompyuta ya Microsoft, Bill Gates ndiye tajiri nambari moja duniani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani