Watafiti UDSM kusafisha majitaka kuwa ya kunywa
Kitengo cha Utafiti cha Idara ya Uhandisi, Teknolojia na Madini (COET) cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kipo katika mchakato wa kusafisha majitaka yanayotokana na kinyesi na kuyarejeleza kuwa safi na salama kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanasayansi ‘Bongo’ kusafisha maji ya kinyesi kuwa ya kunywa
10 years ago
Habarileo20 Jun
Kituo cha UDOM kuwa na mashine 40 za kusafisha figo
KITUO cha Uchunguzi wa maradhi cha Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatarajia kuwa na mashine za kisasa 40 za kusafisha figo pia kitakuwa kituo cha kwanza kubadilisha figo nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eyD2S4R9yoA/VBiAraox4GI/AAAAAAAGj-M/sOZjGTza40E/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO LA WATAFITI WA UFUGAJI NYUKI BARANI AFRIKA
Kongamano hilo linatajiwa kuhudhuriwa na washiriki 550 ambapo kati yao Watanzaniani 250 na wageni kutoka nje ya nchi wanatarajia kuwa 300. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Jumanne (Septemba 16, 2014), Jijini Dar esSaalaam, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania katika Wizara ya ...
10 years ago
CloudsFM30 Sep
WATU 270 WALAZWA KWA KUNYWA TOGWA ILIYOSADIKIWA KUWA NA SUMU
Watu zaidi ya 270 wa Kijiji cha Litapwasi, Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma wamelazwa wengi wao wakiwa na hali mbaya katika Zahanati ya Lyangweni na Hospitali ya Misheni ya St Joseph, Peramiho baada ya kunywa togwa inayosadikiwa kuwa na sumu.
Tukio hilo lilitokea juzi mchana kwenye sherehe ya Kipaimara kwa mtoto Dickson Nungu (14) na kuzua hofu kubwa kwa wakazi wa kijiji hicho ambao wanaonekana kutoamini kilichotokea.
Wingi wa wagonjwa hao umesababisha zahanati hiyo kuelemewa na kiasi cha...
10 years ago
Bongo502 Jun
Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6
11 years ago
Mwananchi20 May
Wataka Mwauwasa kuwaunganisha majitaka
10 years ago
Habarileo12 Jan
Makalla ahimiza miundombinu ya majitaka
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla ametaka bodi za wakurugenzi za mamlaka za maji na usafi wa mazingira nchini, kuweka vipaumbele vya ujenzi wa miundombinu ya majitaka na kuyaondoa maji taka yaliyotumika majumbani.
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Habarileo04 Mar
RC Dodoma alia na siasa za majitaka dhidi ya katiba
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amepiga marufuku siasa chafu zinazoendeshwa mkoani hapa ambapo wananchi wamekuwa wakihamasishwa kutoipigia kura Katiba inayopendekezwa.