Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka Mwauwasa kuwaunganisha majitaka

Wakazi wa Mtaa wa Igogo Kusini A, Wilaya ya Nyamagana, wameomba Mamlaka ya majisafi na majitaka Mwanza (Mwauwasa), kuunganisha nyumba zote za mtaa huo kwenye mfumo wa majitaka badala ya nyumba zenye huduma ya maji safi pekee.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAKALLA ATEMBELEA MIRADI YA MWAUWASA JIJINI MWANZA LEO

 Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla akikagua mradi wa majisafi katika Kituo cha Majisafi cha Capri Point, akiwa pamoja na Mkurugenzi wa MWAUWASA, Inj. Anthony Sanga. Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla akiwa kwenye mradi wa majitaka katika Kituo cha Kusukuma Majitaka cha Makongoro. Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla akiambatana na Meneja Msaidizi wa Operesheni ya Tiba ya Maji (Sanitation Operation), Inj. Salim Lossindilo katika mradi wa tiba ya maji (sanitation) Butuja,...

 

5 years ago

Michuzi

MWAUWASA YATUNUKIWA CHETI CHA USHINDI KWA HUDUMA NZURI


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akipokea Cheti cha Ushindi kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Ziwa, George Mhina.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akimkabidhi Cheti cha Ushindi Meneja Utawala na Rasilimali Watu wa MWAUWASA, Deogratius Magayane mara baada ya hafla.
Cheti cha ushindi kilichokbidhiwa kwa MWAUWASA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi...

 

10 years ago

Habarileo

Makalla ahimiza miundombinu ya majitaka

NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla ametaka bodi za wakurugenzi za mamlaka za maji na usafi wa mazingira nchini, kuweka vipaumbele vya ujenzi wa miundombinu ya majitaka na kuyaondoa maji taka yaliyotumika majumbani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

GPL

AJITOLEA KUWAUNGANISHA VIJANA, AANZISHA LIGI YA BATA

Baadhi ya mashabiki wa ligi ya bata wakifuatilia mojawapo yamapambano. Baadhi ya wachezaji wakicheza soka. Hapa ni ‘wanaume kazini’.…

 

10 years ago

Habarileo

RC Dodoma alia na siasa za majitaka dhidi ya katiba

Chiku GallawaMKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amepiga marufuku siasa chafu zinazoendeshwa mkoani hapa ambapo wananchi wamekuwa wakihamasishwa kutoipigia kura Katiba inayopendekezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watafiti UDSM kusafisha majitaka kuwa ya kunywa

Kitengo cha Utafiti cha Idara ya Uhandisi, Teknolojia na Madini (COET) cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kipo katika mchakato wa kusafisha majitaka yanayotokana na kinyesi na kuyarejeleza kuwa safi na salama kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

 

9 years ago

Habarileo

Sina muda kujibu siasa za majitaka-Ntimizi

MGOMBEA ubunge wa jimbo la Igalula kwa tiketi ya CCM, Musa Ntimizi amesema siku zote huwa hana muda wa kujibu siasa za majitaka wala malumbano. Kauli hiyo alitoa kwenye uzinduzi wa kampeni za jimbo la Igalula iliyofanyika wilayani Uyui.

 

9 years ago

Habarileo

Dawasco yabaini majitaka kuingilia mfumo wa maji safi

SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), limebaini kuwapo mwingiliano wa maji taka kwenye mabomba ya maji safi unaodaiwa kusababishwa na uchimbaji wa mifereji ya karibu na mabomba yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani