Wataka Mwauwasa kuwaunganisha majitaka
Wakazi wa Mtaa wa Igogo Kusini A, Wilaya ya Nyamagana, wameomba Mamlaka ya majisafi na majitaka Mwanza (Mwauwasa), kuunganisha nyumba zote za mtaa huo kwenye mfumo wa majitaka badala ya nyumba zenye huduma ya maji safi pekee.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAKALLA ATEMBELEA MIRADI YA MWAUWASA JIJINI MWANZA LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-10-768x576.jpg)
MWAUWASA YATUNUKIWA CHETI CHA USHINDI KWA HUDUMA NZURI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5TT9ywPL5m8/XrzZbub2hOI/AAAAAAALqKI/AxhVBGjw4-MVP20Wq7O4Q1_OwGCR84uQwCLcBGAsYHQ/s640/1-10-768x576.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akipokea Cheti cha Ushindi kutoka kwa Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Ziwa, George Mhina.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-7-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kushoto) akimkabidhi Cheti cha Ushindi Meneja Utawala na Rasilimali Watu wa MWAUWASA, Deogratius Magayane mara baada ya hafla.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3-5-1024x768.jpg)
Cheti cha ushindi kilichokbidhiwa kwa MWAUWASA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4-1-1-1024x768.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi...
10 years ago
Habarileo12 Jan
Makalla ahimiza miundombinu ya majitaka
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla ametaka bodi za wakurugenzi za mamlaka za maji na usafi wa mazingira nchini, kuweka vipaumbele vya ujenzi wa miundombinu ya majitaka na kuyaondoa maji taka yaliyotumika majumbani.
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...
11 years ago
GPLAJITOLEA KUWAUNGANISHA VIJANA, AANZISHA LIGI YA BATA
10 years ago
Habarileo04 Mar
RC Dodoma alia na siasa za majitaka dhidi ya katiba
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amepiga marufuku siasa chafu zinazoendeshwa mkoani hapa ambapo wananchi wamekuwa wakihamasishwa kutoipigia kura Katiba inayopendekezwa.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Watafiti UDSM kusafisha majitaka kuwa ya kunywa
9 years ago
Habarileo23 Sep
Sina muda kujibu siasa za majitaka-Ntimizi
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Igalula kwa tiketi ya CCM, Musa Ntimizi amesema siku zote huwa hana muda wa kujibu siasa za majitaka wala malumbano. Kauli hiyo alitoa kwenye uzinduzi wa kampeni za jimbo la Igalula iliyofanyika wilayani Uyui.
9 years ago
Habarileo10 Sep
Dawasco yabaini majitaka kuingilia mfumo wa maji safi
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), limebaini kuwapo mwingiliano wa maji taka kwenye mabomba ya maji safi unaodaiwa kusababishwa na uchimbaji wa mifereji ya karibu na mabomba yao.