Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJITOLEA KUWAUNGANISHA VIJANA, AANZISHA LIGI YA BATA

Baadhi ya mashabiki wa ligi ya bata wakifuatilia mojawapo yamapambano. Baadhi ya wachezaji wakicheza soka. Hapa ni ‘wanaume kazini’.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

FID Q AANZISHA KAMPENI YA VIJANA IITWAYO TUONANE “JANUARY”

Staa wa Hip Hop Bongo,Farid Kubanda ‘’FID Q’ ambaye amekuwa akifanya project nyingi za kijamii ‘’ujamaa hiphop darasa’’ ambayo inawapa nafasi vijana kufahamishwa kuhusu nguzo za hiphop, ana online tv Cheusi Dawa Tv, na sasa hivi Fid Q ana project mpya kwa ajili ya kuwaamsha vijana, kampeni inaitwa Tuonane Januari.

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge wa Ruangwa aanzisha vilabu 102 vya michezo ili vijana wasijishughulishe na mambo ya uhalifu

Na Anna Nkinda – Maelezo, aliyekuwa Ruangwa
 Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa ameanzisha  vilabu  102 vya  michezo kwa kuvipatia jezi na mipira ili kuhakikisha vijana wa jimbo hilo lililopo mkoani Lindi hawajishughulishi na matukio ya uhalifu .
Majaliwa ambaye pia ni Naibu waziri wa Elimu TAMISEMI  aliyasema hayo hivi karibuni  wakati wa kilele za sherehe za kutimiza miaka 37 ya  Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizofanyika katika kata ya  Likunja wilayani humo.
Katika...

 

9 years ago

Michuzi

MKUBWA FELLA AANZISHA BAND NYINGINE YA VIJANA KUTOKA MKUBWA NA WANAWE

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Mkubwa Fella ameweza kutoa zao la vijana wengine kutoka Mkubwa na Wanawe ambao wanafanya muziki wa Taarab na kuwabariki jina la Moyo Band, band hii imechanganya wanawake na wanaume na kwa mala ya kwanza itatambulishwa siku ya Ijumaa ya tarehe 11 pale Dar Live wakati Yamoto Band wakizindua Chupa lao jipya ambalo limefanyika SA Cheza kwa Madoido. Zaidi msikilize Saidi Fella Akielezea......

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana wa Afrika waibukia Ligi ya Marekani

Kwa muda mrefu wachezaji wa Kiafrika wamekuwa wakienda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana ‘City Bulls’, Pazi patachimbika Ligi ya RBA Azam

>Ligi ya Mpira wa Kikapu mkoani Dar es Salaam RBA Azam inatarajia kuendelea leo  kwa mechi baina ya wapinzani  wakuu nchini wa mchezo huo, Vijana ‘City Bulls’ na Pazi  kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka Mwauwasa kuwaunganisha majitaka

Wakazi wa Mtaa wa Igogo Kusini A, Wilaya ya Nyamagana, wameomba Mamlaka ya majisafi na majitaka Mwanza (Mwauwasa), kuunganisha nyumba zote za mtaa huo kwenye mfumo wa majitaka badala ya nyumba zenye huduma ya maji safi pekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JAMES CHIMWINGA ‘AMOUR’: Msanii mwenye ndoto ya kuwaunganisha chipukizi

TANZANIA ni miongoni mwa nchi inayokuja kasi katika suala la muziki hasa wa kizazi kipya ambako kila wakati kumekuwepo na vipaji vipya vinavyoibuka. Hata hivyo kutokana na kuongezeka kwa teknolojia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yagawa simu 200 kwenye “Mradi wa Kuwaunganisha Wanawake” Rufiji

Meneja Huduma kwa Jamii wa Tigo, Bi. May Thomas, akiongea na waandishi wa habari na kinamama wa wilayani Rufiji waliohudhuria mafunzo ya ujasiriamali na utunzaji wa mazingira programu ijulikanayo “Mradi wa Kuwaunganisha Wanawake”. Wengine kulia kwake ni John Kikomo Mkurugenzi wa chama cha waandishi wa mazingira(JET) na kushoto kwake ni  Dkt. Flora Myamba Mkurugenzi Mtafiti Kinga Jamii toka REPOA. Mkurugenzi Mtafiti Kinga Jamii toka REPOA, Dkt. Flora Myamba akiongea na waandishi wa habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani