MAKALLA ATEMBELEA MIRADI YA MWAUWASA JIJINI MWANZA LEO
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla akikagua mradi wa majisafi katika Kituo cha Majisafi cha Capri Point, akiwa pamoja na Mkurugenzi wa MWAUWASA, Inj. Anthony Sanga.
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla akiwa kwenye mradi wa majitaka katika Kituo cha Kusukuma Majitaka cha Makongoro.
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Amos Makalla akiambatana na Meneja Msaidizi wa Operesheni ya Tiba ya Maji (Sanitation Operation), Inj. Salim Lossindilo katika mradi wa tiba ya maji (sanitation) Butuja,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0nclW_LWtTI/VJUAPQvuwjI/AAAAAAAG4is/XHrsQYzgH0c/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Makalla atembelea miradi ya maji Kanda ya kaskazini
![](http://3.bp.blogspot.com/-0nclW_LWtTI/VJUAPQvuwjI/AAAAAAAG4is/XHrsQYzgH0c/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pl26nkQtAEw/VJUAn1zEJFI/AAAAAAAG4i8/GuPvVMnPwrU/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-twwV3b2ynEA/VJUCWY1Y5TI/AAAAAAAG4jI/JRbU8lozMA0/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQL67TxeJUw/VJUAcR8MO8I/AAAAAAAG4i0/M8Ohhd0phSs/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PIL,ALHAJ MWINYI ATEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA NSSF JIJINI DAR LEO
11 years ago
MichuziWaziri wa Mazingira atembelea kiwanda cha TBL na Coca Cola jijini Mwanza leo
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s72-c/AM%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAJI MUFINDI NA SONGEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s1600/AM%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Mufindi na Songea. Akiwa wilayani Mufindi, Mh Makalla amekagua mradi mkubwa wa Maji wa ikilimanzoo na kuelekeza mkandarasi aukamilishe haraka. Aidha Naibu Waziri huyo wa Maji amekagua na kutoa cheti kwa jumuiya ya watumia maji Mkongotema na Magingo (MAMKO). Leo Ijumaa ataendelea na ziara yake...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4-tAyRwvGw/U8RzjsWDicI/AAAAAAAF2OI/GIMF-wuxVuQ/s72-c/unnamed+(73).jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE AMOS MAKALLA ATEMBELEA MIRADI YA MAJI MIKOA YA PWANI NA DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC atembelea miradi Geita na Mwanza
![](https://4.bp.blogspot.com/-ijgj0MQ_iM8/VMvr3SNYRJI/AAAAAAAAAV8/X8xLAkA8qds/s1600/New%2BPicture%2B%2837%29.png)
![](https://4.bp.blogspot.com/-KUC3XCiW87I/VMvr8zPTVOI/AAAAAAAAAWM/5Q4O-cLqZVw/s1600/New%2BPicture%2B%2838%29.png)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4c1RVjJOhXk/U9LArjucekI/AAAAAAAF6a8/VK5J62s7dQk/s72-c/313fa6f37f3637e4fbbb14a3503cd569.jpg)
Mhe Makalla atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC marekani leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-4c1RVjJOhXk/U9LArjucekI/AAAAAAAF6a8/VK5J62s7dQk/s1600/313fa6f37f3637e4fbbb14a3503cd569.jpg)
9 years ago
Michuzi28 Aug
MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC_0070.jpg)
![IMG_2809](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_2809.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu atembelea miradi Geita na Mwanza
Msimamizi wa mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Bombambili Geita Bw, Julius Ntoga (kulia) akitoa maelezo ya mradi huo kwa ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu alipotembelea mradi huo jana. Mradi huo wenye nyumba 48 ni wa nyumba za kuuza na unakamilika Februari mwaka huu.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC ukitembelea nyumba za gharama nafuu zilizojengwa eneo la Bombambili, Geita kwa ajili ya kuuzia wananchi.
Sehemu ya nyumba za gharama nafuu zilizojengwa...