Waziri wa Mazingira atembelea kiwanda cha TBL na Coca Cola jijini Mwanza leo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dk. Eng. Binilithi Satano Mahenge wa pili (kulia), akiwa katika ziara yake ya kukagua mazingira ya Kiwanda cha bia (TBL) kilichopo kata ya Pasiasi wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, na wa pili (kushoto) ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng. Angelina Madete,wakati maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani yakiendelea jijini Mwanza.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais -Mazingira, Mh. Dk. Eng. Binilithi Satano Mahenge wa tatu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 May
Dk. Mahanga atembelea kiwanda cha TBL Mwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/-XjS9tra5_wk/VUOrSO1Pr7I/AAAAAAAA1i8/56Ovqt3aZYw/s1600/1%2BMD%2BTBL.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Roberto Jarrin (kulia) na katibu Mkuu wa TUICO, Boniface G Nkakatisi (kushoto) wakitiliana saini mkataba wa hiyari wa maboresho ya maslahi ya wafanyakazi wa TBL.Katikati ni Naibu waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dk. Milton Mahanga.
![](http://3.bp.blogspot.com/-mPmr_wawb5Y/VUOrR7DvNEI/AAAAAAAA1i4/wsvPMO0umYY/s1600/2.MD%2CTUICO.jpg)
Naibu Waziri wa Kazi,Ajira na maendeleo ya Vijana, Dk.Milton Mahanga katikati, akipokea mkataba wa hiari wa maboresho ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),muda mfupi baada ya kusainiwa jana kati ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yt2W3KgPysw/U5GCJaBaSMI/AAAAAAAFoAA/EILNavfSPrw/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA KIWANDA CHA COCACOLA MWANZA KATIKA MAADHIMISHO YA KILELE CHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yt2W3KgPysw/U5GCJaBaSMI/AAAAAAAFoAA/EILNavfSPrw/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0jiZjVm1zBA/U5GCnrYGgMI/AAAAAAAFoA8/MZv--FVJbIk/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wn-I0fOCqA0/U5GCbmnmkmI/AAAAAAAFoAg/FFWHNa2LeCc/s1600/07.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oCbO-zL8ORM/U5GCYNSL5_I/AAAAAAAFoAY/ZkXFmdxLslc/s1600/06.jpg)
9 years ago
MichuziBALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.
Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VhITXNvFl30/VJf_wS1jx5I/AAAAAAAG5B0/iYACqEFGL6M/s72-c/CP1.jpg)
Waziri Fenella afunga fainali Copa Coca Cola 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-VhITXNvFl30/VJf_wS1jx5I/AAAAAAAG5B0/iYACqEFGL6M/s1600/CP1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
10 years ago
GPLMASHINDANO YA COPA COCA COLA KITAIFA YAZINDULIWA LEO
5 years ago
MichuziWAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU MKOANI MANYARA
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s72-c/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA TREKTA POLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-vJ6OK3r_us8/VEzYZrc3W5I/AAAAAAACtjY/r8YlG-gj2r8/s1600/PG4A68321.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda atatuma wataalamu wa sekta ya kilimo ili waje kufuatilia suala la mahitaji ya trekta ili kuziba pengo la mahitaji yake nchini Tanzania.
Alisema lengo la Serikali la kuanzisha sera ya Kilimo Kwanza lilikuwa ni kuwasaidia wakulima kupata ruzuku ya pembejeo, mbegu bora, na dawa za mifugo ili waweze kuongeza ushalishaji.
“Kutokana na mkopo wa Serikali ya India, tulipata matrekta 1,846 ambayo hayakuchukua muda kuisha. Sasa hivi tunatafuta wabia wengine wa kutupatia...