Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Fenella afunga fainali Copa Coca Cola 2014

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara(MB) akikagua timu za Vijana waliochini ya miaka 15 kutoka Kinondoni na Dodoma ambazo zilishiriki hatua ya fainali katika mashindano ya Copa Coca Cola mwishoni mwa wikiendi katika uwanja wa Krume jijini Dar es Salaam. Ambapa katika fainali hizo kwa upande wanaume toimu kutoka Dodoma iliibuka bingwa wa mashindano hayo kwa kuichapa Kinondoni jumla ya magoli 4 -0, wakati kwa upande wa wanawake Kinondoni ilinyakua...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

KAGERA WAANZA VYEMA COPA COCA COLA 2014, WAICHAPA GEITA BAO 2-0 KATIKA UWANJA WA KAITABA LEO

Wachezaji wa Kagera Walio chini ya Miaka 15 wakishangilia baada ya mpira kumalizika kwenye Uwanja wa Kaitaba dhidi ya Geita kwenye Mashindano ya Copa Coca Cola, Mchezo uliochezwa leo Jumapili 12.10.2014. Kagera wameifunga Geita Bao 2-0.Na Faustine Ruta, BukobaKagera wameanza vyema Mashindano ya soka kwa vijana walio chini ya miaka 15, Copa Coca Cola, Leo Jumapili 12.10.2014 Asubuhi baada ya kuichapa Timu ya Geita bao 2-0 kwenye Uwanja wa Nyumbani Kaitaba.Bao za Kagera zimefungwa kipindi cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota Copa Coca-Cola warejea

NYOTA wawili waliochaguliwa kwenda kwenye kambi ya kimataifa ya Copa Coca-Cola iliyofanyika nchini Brazil wiki iliyopita, wamerejea nchini juzi usiku. Wachezaji hao, Ali Mabuyu kutoka Ilala na Juma Yusuf wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kambi ya Copa Coca Cola safi

Kambi ya kimataifa ya Copa Coca-Cola imeanza leo katika uwanja wa michezo wa Chuo Kikuu cha Pretoria ikishirikisha vijana wadogo kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Burundi, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wakijifunza mbinu mbalimbali za soka.

 

9 years ago

Michuzi

COPA COCA COLA KUFANYIKA MWAKANI

MASHINDANO ya Copa Coca Cola yanayodhaminiwa na Kampuni ya Vinywaji ya Coca Cola yaliyokuwa yafanyike katikati ya mwaka huu, sasa yatafanyika mapema mwakani mwezi Februari kuanzia ngazi ya Wilaya na fainali zake kufanyika mwezi Juni na Julai 2016.
Michuano hiyo ambayo hushirikisha timu za mikoa yote Tanzania kuanzia katka ngazi ya Wilaya, hufanyika kila mwaka kwa kuwashirkisha vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U15).
Taarifa ya Idara ya Masoko ya Coca Cola imesema kampuni hiyo ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili Copa Coca-Cola kujifua Brazil

WACHEZAJI wawili bora wa michuano ya Copa Coca-Cola, Juma Yusuph na Ally Mabuyu, wamepata nafasi ya kwenda nchini Brazil kushiriki kambi ya Copa Coca-Cola itakayofanyika Sao Paulo kuanzia Juni 10...

 

10 years ago

TheCitizen

Kigoma shine in Copa Coca-Cola opener

Newcomers Simiyu got a rough welcome yesterday when they crashed to a 3-1 defeat at the hands Kigoma in a curtain raiser of the U-15 Copa Coca-Cola national championships held at Karume Memorial Stadium.

 

10 years ago

TheCitizen

Kigoma and Dom in Copa Coca-Cola semis

>Uncompromising Kigoma boys blasted into the semi-finals of the U-15 Copa Coca-Cola youth football championship after squeezing a 1-0 win over Mwanza in a tough but thrilling match at Karume Memorial Stadium yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani