Sina muda kujibu siasa za majitaka-Ntimizi
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Igalula kwa tiketi ya CCM, Musa Ntimizi amesema siku zote huwa hana muda wa kujibu siasa za majitaka wala malumbano. Kauli hiyo alitoa kwenye uzinduzi wa kampeni za jimbo la Igalula iliyofanyika wilayani Uyui.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Mar
RC Dodoma alia na siasa za majitaka dhidi ya katiba
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amepiga marufuku siasa chafu zinazoendeshwa mkoani hapa ambapo wananchi wamekuwa wakihamasishwa kutoipigia kura Katiba inayopendekezwa.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-1S6wk-b8bwc/VZqjG4npkpI/AAAAAAAACeg/-a5tBt1j1ms/s72-c/sina%2Bmuda%2Bartwork-01.jpeg)
NEW MUSIC: SINA MUDA - NAY WA MITEGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1S6wk-b8bwc/VZqjG4npkpI/AAAAAAAACeg/-a5tBt1j1ms/s400/sina%2Bmuda%2Bartwork-01.jpeg)
Here is the new hit single from Tanzania's finest 'Nay wa Mitego' named 'Sina Muda' which means 'I'm out of time'. After toping the charts with the song 'Mapenzi au Pesa' with the King of Bongo flavour Naseeb 'Diamond Platnumz' Abdul the star is ready to tops the charts once more.
Download the song here
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LLVjzB-akS4/default.jpg)
10 years ago
GPL15 Jul
9 years ago
Bongo502 Oct
Sijaoa kwasababu sina muda wa familia — Flavour
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLp6q07BwgW97GqwajAJ9hCXo8265iKQk8qTsqZRD7wC7rPuBZR5DKuR*DEDU9igYgoSY*e4qw0zNUoMq*eE1xE/CHOKI.jpg)
ALLY CHOKI:SINA MPANGO NA SIASA
11 years ago
CloudsFM05 Aug
KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI
Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”
“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oveMaOHiLPQ/Ve7gGRMqPYI/AAAAAAAAJLA/JdK7phaZH0U/s72-c/jknalowassa.jpg)
LOWASSA ; SINA MUDA NA NYINYI,NIACHENI NIFANYE KAMPENI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oveMaOHiLPQ/Ve7gGRMqPYI/AAAAAAAAJLA/JdK7phaZH0U/s640/jknalowassa.jpg)
MGOMBEA urais wa Tanzania anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa amesema hana muda wa kujibu matusi na kejeli zinazotolewa na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi yake.
Badala yake amesema anatumia muda uliobaki wa kampeni kutafuta kura kwa wananchi kwa kunadi ilani ya chama chake.Akizungumza kwenye mikutano ya hadhara, Bunju na baadaye Mbezi mkoani Dar es Salaam, Lowassa alisema kila alichoahidi ataanza kukifanyia kazi punde tu baada ya...