KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI
Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”
“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Ridhiwani Kikwete: Sina ubia na baba
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Ridhiwani Kikwete, ambaye ni mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, amesema kuwa siasa anazofanya hazina uhusiano na wala ubia na baba yake....
11 years ago
CloudsFM18 Jun
5 years ago
BBCSwahili06 Apr
Coronavirus: Madai ya wanasayansi kuhusu 5G ni 'upuuzi mtupu'
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LLVjzB-akS4/default.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-1S6wk-b8bwc/VZqjG4npkpI/AAAAAAAACeg/-a5tBt1j1ms/s72-c/sina%2Bmuda%2Bartwork-01.jpeg)
NEW MUSIC: SINA MUDA - NAY WA MITEGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1S6wk-b8bwc/VZqjG4npkpI/AAAAAAAACeg/-a5tBt1j1ms/s400/sina%2Bmuda%2Bartwork-01.jpeg)
Here is the new hit single from Tanzania's finest 'Nay wa Mitego' named 'Sina Muda' which means 'I'm out of time'. After toping the charts with the song 'Mapenzi au Pesa' with the King of Bongo flavour Naseeb 'Diamond Platnumz' Abdul the star is ready to tops the charts once more.
Download the song here
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently...
9 years ago
Bongo502 Oct
Sijaoa kwasababu sina muda wa familia — Flavour
9 years ago
Habarileo23 Sep
Sina muda kujibu siasa za majitaka-Ntimizi
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Igalula kwa tiketi ya CCM, Musa Ntimizi amesema siku zote huwa hana muda wa kujibu siasa za majitaka wala malumbano. Kauli hiyo alitoa kwenye uzinduzi wa kampeni za jimbo la Igalula iliyofanyika wilayani Uyui.