Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI

Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”

“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ridhiwani Kikwete: Sina ubia na baba

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Ridhiwani Kikwete,  ambaye ni mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, amesema kuwa siasa anazofanya hazina uhusiano  na wala ubia na baba yake....

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Madai ya wanasayansi kuhusu 5G ni 'upuuzi mtupu'

Madai kuhusu madhara ya 5G katika mfumo wa kinga au kusambaa kwa virusi yamelaaniwa na jamii ya wanasayansi.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: SINA MUDA - NAY WA MITEGO


Here is the new hit single from Tanzania's finest 'Nay wa Mitego' named 'Sina Muda' which means 'I'm out of time'. After toping the charts with the song 'Mapenzi au Pesa' with the King of Bongo flavour Naseeb 'Diamond Platnumz' Abdul the star is ready to tops the charts once more.
Download the song here

Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently...

 

9 years ago

Bongo5

Sijaoa kwasababu sina muda wa familia — Flavour

Licha ya kuwa ana mashabiki wengi wa kike na anafanya muziki unaowalenga zaidi mashabiki wa kike, staa wa Nigeria, Flavour N’abania hafikirii kuoa na ametoa sababu zake za kuendelea kuwa mwanachama wa chama cha mabachela. Tumeshawasikia wasanii wengi akiwemo Davido wakitoa sababu za kwanini hawajafikiria kuoa, lakini sababu aliyoitoa Flavour mwenye umri wa miaka 31 […]

 

9 years ago

Habarileo

Sina muda kujibu siasa za majitaka-Ntimizi

MGOMBEA ubunge wa jimbo la Igalula kwa tiketi ya CCM, Musa Ntimizi amesema siku zote huwa hana muda wa kujibu siasa za majitaka wala malumbano. Kauli hiyo alitoa kwenye uzinduzi wa kampeni za jimbo la Igalula iliyofanyika wilayani Uyui.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani