Ridhiwani Kikwete: Sina ubia na baba
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Ridhiwani Kikwete, ambaye ni mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, amesema kuwa siasa anazofanya hazina uhusiano na wala ubia na baba yake....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM05 Aug
KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI
Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”
“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Ridhiwani: Siasa ninazofanya hazina uhusiano na baba
11 years ago
Habarileo04 Oct
Kikwete- Sina mzaha,watawajibika
RAIS Jakaya Kikwete amesema atawajibisha wakurugenzi watakaoshindwa kukamilisha ujenzi wa maabara ifikapo mwezi ujao kwani katika suala hilo, hatakuwa na mzaha. Aidha amesema kuanzia sasa, shule zote za sekondari za Serikali zenye Kidato cha Tano na Sita zitakuwa za kitaifa, kwa maana ya kuwa na mchanganyiko wa wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali nchini, lengo likiwa ni kuendeleza utaifa kwa vijana.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Dk Slaa: Sina lolote la kumkumbuka Rais Kikwete
11 years ago
GPL
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI CHALINZE
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE KUHARAKISHA MAENDELEO CHALINZE