Kikwete- Sina mzaha,watawajibika
RAIS Jakaya Kikwete amesema atawajibisha wakurugenzi watakaoshindwa kukamilisha ujenzi wa maabara ifikapo mwezi ujao kwani katika suala hilo, hatakuwa na mzaha. Aidha amesema kuanzia sasa, shule zote za sekondari za Serikali zenye Kidato cha Tano na Sita zitakuwa za kitaifa, kwa maana ya kuwa na mchanganyiko wa wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali nchini, lengo likiwa ni kuendeleza utaifa kwa vijana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Mzaha mzaha utumbua usaha milipuko ya mabomu Arusha
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Nchi ikichafuka CCM watawajibika
WAKATI fulani nilimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, katika kipindi cha dakika 45, kinachorushwa na kituo cha ITV, akijibu swali la mwandishi aliyemtaka atoe...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Ridhiwani Kikwete: Sina ubia na baba
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Ridhiwani Kikwete, ambaye ni mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, amesema kuwa siasa anazofanya hazina uhusiano na wala ubia na baba yake....
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Dk Slaa: Sina lolote la kumkumbuka Rais Kikwete
11 years ago
CloudsFM05 Aug
KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI
Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”
“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Mzaha watawala Bunge la Katiba
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais
Na Jabir Idrissa NITAMHESHIMU vilivyo Mwajuma Ali Khamis, mwanamke pekee aliyeingia kuwania wadhifa wa urais Zanzibar, lakini akakiri ufukara umemuangusha. Bi Mwajuma, ambaye sijajua ametokea wapi, amekua vipi, aliingia lini katika siasa mpaka kuthubutu kugombea, nitamheshimu […]
The post Mzaha uliotukuka wagombea 14 urais appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Mzaha wamtia mashakani mwanasayansi
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Suala la katiba mpya lisifanyiwe mzaha
BAADA ya takribani siku zaidi ya 40 za mivutano ya kuandaa kanuni na taratibu mbalimbali, wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wameanza kupitia ibara 17 za rasimu ya katiba mpya...