Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Magereza wahitaji bil.14/- za chakula

SERIKALI imetakiwa kuwekeza Sh bilioni 13.6 kusaidia Jeshi la Magereza kujitosheleza katika chakula katika mpango waliouandaa wa kilimo cha kibiashara.

 

5 years ago

Michuzi

USHIRIKA WA CHAURU WAHITAJI BIL.11 KUNUNUA MASHINE YA KUONDOLEA MAJI KWENYE MASHAMBA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI

USHIRIKA wa Umwagiliaji Ruvu (CHAURU) unaofanya kilimo katika mashamba ya Ruvu ,Kata ya Vigwaza Bagamoyo, Pwani, Unahitaji sh .bilioni. 11 kwa ajili ya kununua mashine ya kuondoa maji kwenye mashamba ya wanachama wake.
Hatua hiyo inalenga kuondokana na changamoto ya mashamba kuingia maji, hasa nyakati za mvua hali inayosababisha kushindwa kuendeleza kilimo.
Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa CHAURU Sadala Chacha, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maabara kugharimu bil 2/-

MANISPAA ya Ilala imetenga shilingi bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa maabara ulioanza Agosti na kutarajiwa kumalizika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima Ofisa Habari wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maji kugharimu bil. 49/-

SERIKALI kupitia Wizara ya Maji, imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji safi na maji taka katika miji ya halmashauri za Geita, Sengerema na Ukerewe mkoani Mwanza (LVWATSAN II), unaogharimu...

 

5 years ago

Michuzi

Mradi wa Maji wa Bil 9.4 Kyaka- Bunazi Wasainiwa

 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (wa pili kushoto) akisisitiza jambo kabla ya kusaini mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji wa Kyaka- Bunazi wenye thamani ya zaidi ya bilioni 9.  Mhandisi Mradi wa Kampuni ya CCECC, Mhandisi He Jun (kushoto) akizungumza jambo wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji wa Kyaka-Bunazi. Wengine ni watendaji kutoka MWAUWASA.Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) na Mhandisi Mradi...

 

9 years ago

StarTV

  Utekelezaji mradi wa elimu sema Singida latumia zaidi ya Sh. Bil. 1.5

 

Shirika lisilo la Kiserikali la SEMA-Singida limetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za mradi wa elimu ya afya, maji na usafi wa mazingira kwa shule za msingi 36 za mikoa ya Singida na Dodoma katika kipindi cha kuanzia Machi 2011 hadi Machi mwaka huu.

Shirika hilo chini ya ufadhili wa Water Aid Tanzania limejenga vyoo bora  katika shule  hizo za mradi, kuweka na kukarabati miundombinu ya maji na kutoa elimu  ya afya  kwa wanafunzi na ...

 

11 years ago

GPL

MAZOEZI YA MISS SINZA KUANZA MEI 5 KWENYE UKUMBI WA MEEDA, SINZA

Prisca Clement (katikati) mara baada ya kushinda taji la vipaji katika mashindano ya Miss Tanzania 2013. Na Mwandishi Wetu
MAZOEZI ya warembo watakaowania taji la urembo la Sinza, Miss  2014 yataanza Mei 5 kwenye ukumbi wa Meeda uliopo Sinza Mori na Lufungila jijini Dar es Salaam. Taji la Miss Sinza linashikiliwa na Miss Tanzania, Prisca Clement alimaliza katika hatua ya 10 bora katika mashindano ya mwaka jana ya Miss...

 

11 years ago

Michuzi

Redd's Miss Sinza 2014 Kufanyika kesho Meeda Club Sinza

Mratibu wa shindano la Redd's miss Sinza 2014 Tinna Matutuna katikati akizungumza na waandishi wa Habari katika ukumbi wa mikutano wa Meeda Night Club sinza juu ya Shindano la Redd's Miss Sinza litakalofanyika kesho ijumaa katika ukumbi wa Meeda Night Club kwa kiingilio cha 5,000 kwa viti vya kawaida na 10,000 kwa Viti Maalum .kushoto na kulia ni baadhi ya warembo wa shindano hilo. =======  ====== ===== MNYANGE atakayefanikiwa kuibuka mrembo wa kitongoji cha Sinza ‘ Redds Miss Sinza  2014’...

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka Mwauwasa kuwaunganisha majitaka

Wakazi wa Mtaa wa Igogo Kusini A, Wilaya ya Nyamagana, wameomba Mamlaka ya majisafi na majitaka Mwanza (Mwauwasa), kuunganisha nyumba zote za mtaa huo kwenye mfumo wa majitaka badala ya nyumba zenye huduma ya maji safi pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani