Mradi wa maabara kugharimu bil 2/-
MANISPAA ya Ilala imetenga shilingi bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa maabara ulioanza Agosti na kutarajiwa kumalizika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima Ofisa Habari wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Mradi wa maji kugharimu bil. 49/-
SERIKALI kupitia Wizara ya Maji, imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji safi na maji taka katika miji ya halmashauri za Geita, Sengerema na Ukerewe mkoani Mwanza (LVWATSAN II), unaogharimu...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Umeme vijijini kugharimu bil. 4/-
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, amesema serikali inatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni nne kwa ajili ya mradi wa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Uboreshaji Uwanja KIA kugharimu bil. 78/-
UJENZI wa uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unatarajia kugharimu euro milioni 35 (sh bilioni 78). Hayo yalibainika jijini Dar es Salaam juzi katika hafla ya...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-
MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Miradi ya maji kugharimu bil. 238/-
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka ya jijini Mwanza (Mwauwasa), inatarajia kutumia euro milioni 104.5, sawa na zaidi ya sh bilioni 238.7 kwa ajili ya kujenga na kutekeleza miradi mbalimbali ya...
11 years ago
Dewji Blog29 May
Mradi wa jengo jipya MOI kugharimu shilingi bilioni 30
Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) Bw. Jumaa Almasi (katikati)akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua iliyofikiwa katika kupanua huduma za Taasisi hiyo ikiwemo kukamilika kwa jengo jipya la kisasa litakalokuwa na vifaa vya kisasa kama MRI ( magnetic Resonance Imaging) CT-SCAN (Computerized Tomography).kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Bi Fatma Salum na kulia ni Afisa uhusiano wa Taasisi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Mradi wa majitaka Sinza wahitaji bil. 6/-
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema sh bilioni sita zinahitajika kwa ajili ya kukamilisha mradi wa kuondoa majitaka katika Kata ya Sinza, Dar es Salaam. Mnyika alitoa kauli hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g1a0duqsQsg/XsFIvVCZQ6I/AAAAAAALqlI/JfNHwjY_1AA4KHAPssyAip3uRq1E1jq7QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mradi wa Maji wa Bil 9.4 Kyaka- Bunazi Wasainiwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1a0duqsQsg/XsFIvVCZQ6I/AAAAAAALqlI/JfNHwjY_1AA4KHAPssyAip3uRq1E1jq7QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bDVda0gklWc/XsFIvUST_UI/AAAAAAALqlE/92tK208N6tY-6g8r37tX7R8073oqNliDgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-hVVFpCOkEdQ/XsFIvnrAatI/AAAAAAALqlM/cSU4dbhiFSUphz7AnGdQOSu-s-wwP1feQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
9 years ago
StarTV15 Nov
 Utekelezaji mradi wa elimu sema Singida latumia zaidi ya Sh. Bil. 1.5
Shirika lisilo la Kiserikali la SEMA-Singida limetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.5 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za mradi wa elimu ya afya, maji na usafi wa mazingira kwa shule za msingi 36 za mikoa ya Singida na Dodoma katika kipindi cha kuanzia Machi 2011 hadi Machi mwaka huu.
Shirika hilo chini ya ufadhili wa Water Aid Tanzania limejenga vyoo bora katika shule hizo za mradi, kuweka na kukarabati miundombinu ya maji na kutoa elimu ya afya kwa wanafunzi na ...