Umeme vijijini kugharimu bil. 4/-
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, amesema serikali inatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni nne kwa ajili ya mradi wa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Mradi wa maabara kugharimu bil 2/-
MANISPAA ya Ilala imetenga shilingi bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa maabara ulioanza Agosti na kutarajiwa kumalizika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima Ofisa Habari wa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Mradi wa maji kugharimu bil. 49/-
SERIKALI kupitia Wizara ya Maji, imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji safi na maji taka katika miji ya halmashauri za Geita, Sengerema na Ukerewe mkoani Mwanza (LVWATSAN II), unaogharimu...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Uboreshaji Uwanja KIA kugharimu bil. 78/-
UJENZI wa uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unatarajia kugharimu euro milioni 35 (sh bilioni 78). Hayo yalibainika jijini Dar es Salaam juzi katika hafla ya...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Miradi ya maji kugharimu bil. 238/-
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka ya jijini Mwanza (Mwauwasa), inatarajia kutumia euro milioni 104.5, sawa na zaidi ya sh bilioni 238.7 kwa ajili ya kujenga na kutekeleza miradi mbalimbali ya...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-
MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Umeme Hai watengewa bil. 1.8/-
JUMLA ya sh. bilioni 1.8 zitatumika katika kutekeleza ujenzi wa mradi wa umeme katika jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, alieleza hayo bungeni...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Canada yaombwa kusaidia umeme vijijini
SERIKALI imeiomba Canada kusaidia upatikanaji wa dola za Marekani milioni 300 (sawa na Sh bilioni 480) kwa ajili ya miradi ya kupeleka umeme vijijini.
9 years ago
Habarileo30 Dec
Wala rushwa umeme vijijini kukamatwa
WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa mkoa wa Kagera,Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru) na vyombo vya dola, kuwashughulikia wala rushwa katika mradi ya umeme vijijini.
11 years ago
Mwananchi31 May
Umeme kutumia Sh123 bil kumaliza