Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uboreshaji Uwanja KIA kugharimu bil. 78/-

UJENZI wa uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unatarajia kugharimu euro milioni 35 (sh bilioni 78). Hayo yalibainika jijini Dar es Salaam juzi katika  hafla ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Umeme vijijini kugharimu bil. 4/-

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid,  amesema serikali inatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni nne kwa ajili ya mradi wa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maji kugharimu bil. 49/-

SERIKALI kupitia Wizara ya Maji, imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji safi na maji taka katika miji ya halmashauri za Geita, Sengerema na Ukerewe mkoani Mwanza (LVWATSAN II), unaogharimu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maabara kugharimu bil 2/-

MANISPAA ya Ilala imetenga shilingi bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa maabara ulioanza Agosti na kutarajiwa kumalizika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima Ofisa Habari wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya maji kugharimu bil. 238/-

MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka ya jijini Mwanza (Mwauwasa), inatarajia kutumia euro milioni 104.5, sawa na zaidi ya sh bilioni 238.7 kwa ajili ya kujenga na kutekeleza miradi mbalimbali ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-

MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...

 

9 years ago

Mtanzania

Tanzanite ya bil 2/- yakamatwa KIA

tanzaniteNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

WIZARA ya Nishati na Madini imekamata vipande 264 vya madini aina ya Tanzanite yenye thamani ya Sh bilioni 2.5 katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA).

Kukamatwa kwa madini hayo kulielezwa jana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk. Medard Kalamani, katika mahojiano yake na MTANZANIA Jumamosi.

“Madini hayo yalikamatwa na Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) ambapo raia wa India, Jain Anarugi, alitaka kuyasafirisha nje ya nchi hivi karibuni lakini sasa...

 

5 years ago

Michuzi

NDITIYE AZINDUA SAFARI ZA NDEGE ZA MIZIGO UWANJA WA KIA








KADCO yajenga chumba cha barafu chenye uwezo wa kubeba tani 110


Na Prisca Ulomi, WUUM, KIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye amezindua safari za ndege za mizigo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya kuwawezesha wafanyabiashara, wakulima wa mazao, matunda na mboga mboga wa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara na mikoa ya jirani kutumia usafiri huo kusafirisha mizigo yao kwenda nje ya nchi ya Tanzania

Nditiye amesema kuwa uzinduzi wa...

 

9 years ago

Global Publishers

KADCO yaokoa zaidi ya bilioni 2 Uwanja wa Ndege wa KIA ndani ya wiki 1

Kaimu Mkurugenzi wa KADCO ,Bakari Murusuri |(Katikati) kushoto kwake ni mkurugenzi wa shughuli mama za kiwanja na huduma KADCO,Christopher  Mukoma na kulia kwake ni Meneja usalama wa Kiwanja, Justine Kisusi walipokutana na wanahabari . Kaimu mkurug4e3nzi wa KADCO ,Bakari Murusuri akizung4umza na wanahabari (hawako pichani ) kuhusu matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika uwanja huo. Uwanja wa ndege wa kimataifa wa  Kilimanjaro (KIA) Eneo la ndani la uwanja wa ndege wa KIA.
Na Dixon...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani