Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miradi ya maji kugharimu bil. 238/-

MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka ya jijini Mwanza (Mwauwasa), inatarajia kutumia euro milioni 104.5, sawa na zaidi ya sh bilioni 238.7 kwa ajili ya kujenga na kutekeleza miradi mbalimbali ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-

MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maji kugharimu bil. 49/-

SERIKALI kupitia Wizara ya Maji, imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji safi na maji taka katika miji ya halmashauri za Geita, Sengerema na Ukerewe mkoani Mwanza (LVWATSAN II), unaogharimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya maji nchini kugharimu trilioni 2/-

SERIKALI imetenga zaidi ya sh trilioni 2.1 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya maji katika miji mikuu ya kila mkoa ambayo itakuwa imekamilika ifikapo mwakani. Mipango hiyo ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miradi ya maji Kwimba yatengewa bil. 2/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kwimba imetenga sh bilioni 2.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji kwa mwaka wa fedha 2014/15. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umeme vijijini kugharimu bil. 4/-

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid,  amesema serikali inatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni nne kwa ajili ya mradi wa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa maabara kugharimu bil 2/-

MANISPAA ya Ilala imetenga shilingi bilioni 2.2 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa maabara ulioanza Agosti na kutarajiwa kumalizika Oktoba mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima Ofisa Habari wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uboreshaji Uwanja KIA kugharimu bil. 78/-

UJENZI wa uboreshaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unatarajia kugharimu euro milioni 35 (sh bilioni 78). Hayo yalibainika jijini Dar es Salaam juzi katika  hafla ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Miradi mitatu kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni Moro

Imeelezwa kuwa miradi ya ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi na barabara na soko kuu mkoani Morogoro inatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni.

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani