Miradi mitatu kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni Moro
Imeelezwa kuwa miradi ya ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi na barabara na soko kuu mkoani Morogoro inatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjshdsFPLC0/XuMfkzZLi7I/AAAAAAALthc/kd4z4CIoCmoiHHna0kZN-n7puC3y0ZUewCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Barabara za lami katika Mji wa Serikali kugharimu zaidi ya Bilioni 89
Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati akiweka jiwe la...
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
World Vision Tanzania yatumia zaidi ya bilioni 5.3 kuboresha miradi ya Afya Singida
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Kamanzi na DC wa wilaya ya Singida, akifungua hafla ya makabidhiano wa mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN-MNCH). Wa kwanza kulia ni mkuu wa wilaya ya Ikungi Gichulu Charles na anayefuatia ni mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la World vision Tanzania, Mary Lema.
Baadhi ya wadau wa afya waliohudhuria hafla ya makabidhiano ya mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN -MNCH) iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aque Vitae Resort mjini...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
DTB yapata faida Sh20 bilioni
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Sh20 bilioni kujenga soko, kituo Kibaha
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Utafiti wa mafuta kugharimu Sh13 bilioni
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Miradi ya barabara Tabora kugharimu bil. 13/-
MKOA wa Tabora unatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni 13 katika kutekeleza miradi ya barabara kwa mwaka wa fedha wa 2013/2014. Akisoma taarifa yake kwenye kikao cha Bodi ya Barabara,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Miradi ya maji kugharimu bil. 238/-
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka ya jijini Mwanza (Mwauwasa), inatarajia kutumia euro milioni 104.5, sawa na zaidi ya sh bilioni 238.7 kwa ajili ya kujenga na kutekeleza miradi mbalimbali ya...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Miradi ya maji nchini kugharimu trilioni 2/-
SERIKALI imetenga zaidi ya sh trilioni 2.1 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mikubwa ya maji katika miji mikuu ya kila mkoa ambayo itakuwa imekamilika ifikapo mwakani. Mipango hiyo ni...
11 years ago
Dewji Blog29 May
Mradi wa jengo jipya MOI kugharimu shilingi bilioni 30
Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) Bw. Jumaa Almasi (katikati)akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua iliyofikiwa katika kupanua huduma za Taasisi hiyo ikiwemo kukamilika kwa jengo jipya la kisasa litakalokuwa na vifaa vya kisasa kama MRI ( magnetic Resonance Imaging) CT-SCAN (Computerized Tomography).kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Bi Fatma Salum na kulia ni Afisa uhusiano wa Taasisi...