DTB yapata faida Sh20 bilioni
Benki ya Diamond Trust (DTB) imepata faida ya Sh20 bilioni kabla ya kodi kwa hesabu za mwaka 2014, ikiwa ni ongezeko la asilimia 25 ikilinganishwa na mwaka 2013.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_7BMNEf-HD0/Vc2ppMvdGOI/AAAAAAAHwhQ/vweLhqC1h8s/s72-c/unnamed.jpg)
NMB Yapata Faida shilingi bilioni 77
![](http://4.bp.blogspot.com/-_7BMNEf-HD0/Vc2ppMvdGOI/AAAAAAAHwhQ/vweLhqC1h8s/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
GPLNMB YAPATA FAIDA SHILINGI BILIONI 77
Mkurugenzi Mtendaji wa NMB-Ineke Bussemaker akitangaza matokeo ya kifedha ya nusu mwaka mbele ya Waandishi wa Habari katika Ofisi Mpya za NMB Makao Makuu jana. NMB ilitanganza faida baada ya kodi ya shilingi bilioni 77 ikiwa zaidi ya faida ya mwaka jana kipindi hicho hicho ambayo ilikua shilingi bilioni 72/-. Kushoto ni Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB-Waziri Barnabas. ...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
BOA Tanzania yapata faida ya Sh5 bilioni
 Benki ya Afrika (BOA) imeongeza faida yake kwa asilimia 63 na kupata Sh5.4 bilioni mwaka 2013 kabla ya kodi, ikilinganishwa na faida ya Sh3.3 bilioni iliyopatikana mwaka 2012.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s72-c/MNDOLWA.jpg)
BENKI YA TPB YAPATA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 15.9 KWA MWAKA UNAOISHIA DESEMBA 31,2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s640/MNDOLWA.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya TPB Dk. Edmund Mndolwa,(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya kodi ya Sh.bilioni 15.9 kwa mwaka Desemba 2019.Kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Sabasaba Mushingi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zfrA-m7zVCg/Xt5M7xbaz1I/AAAAAAALtFs/4U9hOY_xFP0Wbow9jw7ow6sQymqHW-URgCLcBGAsYHQ/s640/MOSHINGI.jpg)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Sabasaba Moshingi,(kulia) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
SERIKALI YAPATA GAWIO LA FAIDA LA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA LIMITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0geuo0JyMb4/VXs3hPzFcwI/AAAAAAAHfHo/3fPBGrq8s9U/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Sh20 bilioni kujenga soko, kituo Kibaha
Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani inatarajia kutumia kiasi cha Sh20 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa soko la kisasa na kituo cha mabasi.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Miradi mitatu kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni Moro
Imeelezwa kuwa miradi ya ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi na barabara na soko kuu mkoani Morogoro inatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni.
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Facebook yapata faida kubwa
Facebook imeandikisha faida kubwa ya dola $891m kati ya mwezi Julai na Septemba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania