SERIKALI YAPATA GAWIO LA FAIDA LA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA LIMITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
Waziri wa Fedha, Mh. Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dr. Servacius Likwelile pamoja na Msajili wa Hazina, Nd. Lawrence Mafuru wakipokea hundi ya mfano ya shilingi Bilioni 3 kutoka Kampuni ya Puma Energy Tanzania Limited iliyokabidhiwa na Mkuu wa Puma Energy Tanzania Limited, Nd. Philippe Corsaletti.
Waziri wa Fedha, Mh. Saada Mkuya Salum akiwashukuru watendaji wakuu wa Puma Energy Tanzania Limited kwa kuwasilisha kwa Serikali gawio la faida la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_7BMNEf-HD0/Vc2ppMvdGOI/AAAAAAAHwhQ/vweLhqC1h8s/s72-c/unnamed.jpg)
NMB Yapata Faida shilingi bilioni 77
![](http://4.bp.blogspot.com/-_7BMNEf-HD0/Vc2ppMvdGOI/AAAAAAAHwhQ/vweLhqC1h8s/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
GPLNMB YAPATA FAIDA SHILINGI BILIONI 77
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tiper yaikabidhi Serikali gawio la zaidi ya shilingi bilioni 1
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia).
Serikali imepokea shilingi bilioni moja kutoka TIPER ikiwa ni gawio...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s72-c/MNDOLWA.jpg)
BENKI YA TPB YAPATA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 15.9 KWA MWAKA UNAOISHIA DESEMBA 31,2019
![](https://1.bp.blogspot.com/-kMl7ZdW8t7c/Xt5M7ltBHLI/AAAAAAALtFk/buKR_gZj5_0lWt9yJNXvHtOXiCuq5_SNwCLcBGAsYHQ/s640/MNDOLWA.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya TPB Dk. Edmund Mndolwa,(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya kodi ya Sh.bilioni 15.9 kwa mwaka Desemba 2019.Kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Sabasaba Mushingi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zfrA-m7zVCg/Xt5M7xbaz1I/AAAAAAALtFs/4U9hOY_xFP0Wbow9jw7ow6sQymqHW-URgCLcBGAsYHQ/s640/MOSHINGI.jpg)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Sabasaba Moshingi,(kulia) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati wa kutoa tarifa ya kupata faida ya ...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
BOA Tanzania yapata faida ya Sh5 bilioni
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T-9pnqHRpNM/U3VNbv72PQI/AAAAAAAA6O4/T1QUzVdsjE8/s72-c/IMG_6742.jpg)
KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA VILAINISHI VYA CASTROL NA KITUO CHA MAFUTA CHA OYSTERBAY, DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-T-9pnqHRpNM/U3VNbv72PQI/AAAAAAAA6O4/T1QUzVdsjE8/s1600/IMG_6742.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vriPLAp2mZA/U3VNeKtMjrI/AAAAAAAA6PA/vmrPQA2LlIU/s1600/IMG_6754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NHtbrqyQcd0/U3VNiINMlkI/AAAAAAAA6PI/2qBtlGChdgo/s1600/IMG_6758.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Wilaya ya Same na Mwanga yapata kiasi cha shilingi bilioni 56.10 kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka mfuko wa maendeleo ya uchumi wa Kuwait wakisubiri kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya kuanzisha mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kulia kwake ni Bw. Abdulwahab A. Al- Bader ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile, mchana wa leo ametiliana saini makubaliano ya mkataba wa kuanzisha...
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Star Oils kampuni dada ya MeTL GROUP yapata mkopo wa bilioni 100 kutoka NBC
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake na kampuni ya MeTL mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
.MetTL yajipanga kupanua soko lake la mafuta Afrika Mashariki na Kusini
Na Mwandishi wetu
KAMPUNI ya Mohammed Enterpries Tanzania Limited (MeTL GROUP) kupitia kampuni yake dada ya kuingiza, kuhifadhi na kusambaza mafuta nchini ya Star Oils Ltd. imepata mkopo wa bilioni 100 kutoka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qP-y2tt6KaU/VBlXMaudcEI/AAAAAAAGkCw/wrdKzWn9d24/s72-c/PIX%2B1.jpg)
KAMPUNI YA PUMA ENERGY YAMKABIDHI SILIMA MAMILIONI YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-qP-y2tt6KaU/VBlXMaudcEI/AAAAAAAGkCw/wrdKzWn9d24/s1600/PIX%2B1.jpg)