Utafiti wa mafuta kugharimu Sh13 bilioni
Utafiti wa mafuta kwenye bonde la ufa linalopitia mikoa ya Arusha, Simiyu, Shinyanga, Tabora na Lindi unaanza leo, kwa mujibu wa Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), James Mataragio.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Wizi wa Sh13 bilioni ulipangwa hivi
11 years ago
Dewji Blog29 May
Mradi wa jengo jipya MOI kugharimu shilingi bilioni 30
Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) Bw. Jumaa Almasi (katikati)akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua iliyofikiwa katika kupanua huduma za Taasisi hiyo ikiwemo kukamilika kwa jengo jipya la kisasa litakalokuwa na vifaa vya kisasa kama MRI ( magnetic Resonance Imaging) CT-SCAN (Computerized Tomography).kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Bi Fatma Salum na kulia ni Afisa uhusiano wa Taasisi...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Miradi mitatu kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni Moro
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjshdsFPLC0/XuMfkzZLi7I/AAAAAAALthc/kd4z4CIoCmoiHHna0kZN-n7puC3y0ZUewCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Barabara za lami katika Mji wa Serikali kugharimu zaidi ya Bilioni 89
Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati akiweka jiwe la...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Utafiti wa Swala kusaidia upatikanaji wa mafuta, gesi
KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala imetoa ushahidi mafanikio ya utafiti uliofanyika katika bonde la Kilombero wilayani Kilosa ambapo matokeo hayo yatatasaidia kurahisisha kazi ya uchimbaji visima mwaka 2015....
10 years ago
Habarileo05 Oct
Mabaharia wataka kazi meli za utafiti wa mafuta
JUMUIYA ya Mabaharia Tanzania imeiomba Serikali kuajiri wanachama wake katika meli za utafiti na uchimbaji mafuta na gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
10 years ago
Habarileo05 Mar
SIDA yatoa bilioni 40/- kwa utafiti
SHIRIKA la Kimataifa la Maendeleo la Sweden (SIDA) kupitia baraza la utafiti limetoa Sh bilioni 40 kwa ajili ya shughuli za utafiti pamoja na kusomesha walimu wa taasisi za elimu ya juu katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.
9 years ago
Habarileo16 Nov
TPDC kuanza utafiti mafuta, gesi wiki hii
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), wiki hii litaanza utafiti wa awali wa mafuta na gesi nchini kwa kutumia ndege katika eneo la kitalu cha Ziwa Tanganyika Kaskazini.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s72-c/1.jpg)
TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege
![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xcuuqUANnn4/VkmOYvXeVrI/AAAAAAAIGIo/bJvMzV7Cgcc/s640/2.jpg)