Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti wa mafuta kugharimu Sh13 bilioni

Utafiti wa mafuta kwenye bonde la ufa linalopitia mikoa ya Arusha, Simiyu, Shinyanga, Tabora na Lindi unaanza leo, kwa mujibu wa Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC), James Mataragio.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wizi wa Sh13 bilioni ulipangwa hivi

Mazungumzo ya kukamilisha mchongo wa Sh13 bilioni katika mkataba wa Serikali wa kukopa Sh1.3 trilioni kutoka benki ya Standard ya Uingereza ulikamilika katika kipindi cha miezi sita, imefahamika.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mradi wa jengo jipya MOI kugharimu shilingi bilioni 30

1 (1)

Meneja Ustawi wa Jamii na Uhusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) Bw. Jumaa Almasi (katikati)akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu hatua iliyofikiwa katika kupanua huduma za Taasisi hiyo ikiwemo kukamilika kwa jengo jipya la kisasa litakalokuwa na vifaa vya kisasa kama MRI ( magnetic Resonance Imaging) CT-SCAN (Computerized Tomography).kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Bi Fatma Salum na kulia ni Afisa uhusiano wa Taasisi...

 

10 years ago

Mwananchi

Miradi mitatu kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni Moro

Imeelezwa kuwa miradi ya ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi na barabara na soko kuu mkoani Morogoro inatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh20 bilioni.

 

5 years ago

Michuzi

Barabara za lami katika Mji wa Serikali kugharimu zaidi ya Bilioni 89

Na. Frank Mvungi na Immaculate Makilika - MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara za kiwango cha lami katika mji wa Serikali utakaogharimu zaidi ya bilioni 89 ikiwa ni ahadi aliyotoa mara baada ya kutangaza Dodoma kuwa Makao Makuu ya nchi ili kutekeleza tamko alilolitoa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1973 zaidi ya miongo mine iliyopita.
Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati akiweka jiwe la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utafiti wa Swala kusaidia upatikanaji wa mafuta, gesi

KAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala imetoa ushahidi mafanikio ya utafiti uliofanyika katika bonde la Kilombero wilayani Kilosa ambapo matokeo hayo yatatasaidia kurahisisha kazi ya uchimbaji visima mwaka 2015....

 

10 years ago

Habarileo

Mabaharia wataka kazi meli za utafiti wa mafuta

JUMUIYA ya Mabaharia Tanzania imeiomba Serikali kuajiri wanachama wake katika meli za utafiti na uchimbaji mafuta na gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

 

10 years ago

Habarileo

SIDA yatoa bilioni 40/- kwa utafiti

Rwekaza MukandalaSHIRIKA la Kimataifa la Maendeleo la Sweden (SIDA) kupitia baraza la utafiti limetoa Sh bilioni 40 kwa ajili ya shughuli za utafiti pamoja na kusomesha walimu wa taasisi za elimu ya juu katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.

 

9 years ago

Habarileo

TPDC kuanza utafiti mafuta, gesi wiki hii

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), wiki hii litaanza utafiti wa awali wa mafuta na gesi nchini kwa kutumia ndege katika eneo la kitalu cha Ziwa Tanganyika Kaskazini.

 

9 years ago

Michuzi

TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dkt. James Mataragio akuzungumza na waandishi wa habari (hapo pichani) kuhusu ujio wa ndege ya utafiti wa awali wa mafuta na gesi asilia kwa kutumia ndege katika Kitalu cha Ziwa Tanganyika Kaskazini, Mkurugenzi wa undelezaji wa mafuta na gesi asilia Dkt. Wellngton Hudson (kulia) mkutano huo ulifanyika makao makuu ya TPDC mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Waandishi wa vyombo mbali mbali vya habari wakimsikiliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani