Miradi ya maji Kwimba yatengewa bil. 2/-
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kwimba imetenga sh bilioni 2.5 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji kwa mwaka wa fedha 2014/15. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Iramba yatengewa bil. 1.6/- za maji
WIZARA ya Maji imetenga sh bilioni 1.6 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji safi na salama katika Wilaya ya Iramba, mkoani Singida katika kipindi cha kuanzia mwaka wa fedha...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Miradi ya maji kugharimu bil. 238/-
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka ya jijini Mwanza (Mwauwasa), inatarajia kutumia euro milioni 104.5, sawa na zaidi ya sh bilioni 238.7 kwa ajili ya kujenga na kutekeleza miradi mbalimbali ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Barabara Mpanda-Misamo yatengewa bil. 4.5/-
SHILINGI bilioni 4.5 zimetengwa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Mpanda hadi Mishamo kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 100. Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge,...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kwimba kuanza kunywa maji safi
MBUNGE wa Kwimba mkoani Mwanza, Shanif Mansoor (CCM), amewahakikishia wananchi wa Ngudu na Mhalo kwamba ifikapo Machi wataanza kupata majisafi kutoka Ziwa Victoria. Alisema kuanzia Juni hadi Oktoba, wakazi wa...
10 years ago
Michuzi
Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi



10 years ago
Michuzi
KAMATI YA BUNGE YA KILIMO, MAJI NA MIFUGO YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAJI ILIYOTEKELEZWA NCHINI

Kamati ya Maji, Mifugo na Uvuvi imeridhishwa na miradi mbalimbali ya Maji iliyotekelezwa kwa kipindi cha miaka 10 ya kuwapatia wananchi huduma ya Majisafi na kupunguza tatizo la uhaba wa Maji hapa nchini.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Maji Mh. Selemani Kakoso Wakati wa ziara ya kamati katika kuangalia...
10 years ago
Michuzi
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Yatembelea Miradi ya Maji Tanzania Bara



10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yaridhishwa na miradi ya maji ya Kibiti, Ikwiriri
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.
Hussein Makame, MAELEO, Pwani
KAMATI ya Bunge ya Kilimo,...
10 years ago
Vijimambo
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAJI MUFINDI NA SONGEA

Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Mufindi na Songea. Akiwa wilayani Mufindi, Mh Makalla amekagua mradi mkubwa wa Maji wa ikilimanzoo na kuelekeza mkandarasi aukamilishe haraka. Aidha Naibu Waziri huyo wa Maji amekagua na kutoa cheti kwa jumuiya ya watumia maji Mkongotema na Magingo (MAMKO). Leo Ijumaa ataendelea na ziara yake...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10