Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Canada yaombwa kusaidia umeme vijijini

SERIKALI imeiomba Canada kusaidia upatikanaji wa dola za Marekani milioni 300 (sawa na Sh bilioni 480) kwa ajili ya miradi ya kupeleka umeme vijijini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaombwa kusaidia chakula Ngorongoro

SERIKALI imeombwa kuchukua hatua za haraka kuhakikisha inasaidia wananchi waishio katika Tarafa ya Ngorongoro ambao hivi sasa wanakabiliwa na uhaba wa chakula na kuchangia mahudhurio duni ya wanafunzi shuleni. Ombi...

 

10 years ago

BBCSwahili

NATO yaombwa kusaidia Afrika Magharibi

Ulaya imetoa wito kwa jumuia ya kujihami NATO kusaidia mapambano dhidi ya Ebola Afrika magharibi

 

9 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya kimataifa yaombwa kusaidia huduma kambi ya Nyarugusu

IMG_6503

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kulia) na ujumbe wake aliombatana nao Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini, Dkt. Natalia Kanem (wa pili kushoto) pamoja na Ofisa wa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Maulidah Hassan (kushoto) kabla ya kuelekea kambi ya Nyarugusu walipita...

 

11 years ago

Habarileo

Canada kusaidia miradi ya umemejua

SERIKALI ya Canada imeeleza kuwa itaisaidia Tanzania katika kutekeleza miradi ya umeme wa jua.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania kufaidika na umeme jua kutoka Canada

 Ujumbe kutoka Tanzania ukiongozwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa nne kushoto), ukiwa katika kiwanda cha kutengeneza vifaa vya umeme jua cha Canadian Solar katika jimbo la Ontario nchini Canada.Wengine katika picha ni Mkurugenzi Mwandamizi wa Canadian Solar, Brian Lu (wa tano kushoto), Mwenyekiti Kamati ya Bunge, Nishati na Madini, Mhe.Victor Mwambalaswa(Mb.) (wa tatu kushoto), Mhe.Shafin Sumar (Mb.), (wa pili kulia), Mhe.Richard Ndasa (Mb.) (wa tatu kulia),...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Umeme vijijini kugharimu bil. 4/-

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid,  amesema serikali inatarajia kutumia zaidi ya sh bilioni nne kwa ajili ya mradi wa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji...

 

9 years ago

Habarileo

Wala rushwa umeme vijijini kukamatwa

WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa mkoa wa Kagera,Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru) na vyombo vya dola, kuwashughulikia wala rushwa katika mradi ya umeme vijijini.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini

Serikali imetangaza kupunguza gharama za kuunganisha umeme kutoka Sh177,000 za awali hadi Sh27,000 vijijini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani