Jumuiya ya kimataifa yaombwa kusaidia huduma kambi ya Nyarugusu
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kulia) na ujumbe wake aliombatana nao Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini, Dkt. Natalia Kanem (wa pili kushoto) pamoja na Ofisa wa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Maulidah Hassan (kushoto) kabla ya kuelekea kambi ya Nyarugusu walipita...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Idadi ya wakimbizi Kambi ya Nyarugusu yaongezeka
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GzP7AM8Fbck/U_nWSoRxoiI/AAAAAAAGCAQ/B00PrB0nscs/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
ZOEZI LA UHAKIKI WAKIMBIZI KAMBI YA NYARUGUSU LAFIKIA UKIKONGONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GzP7AM8Fbck/U_nWSoRxoiI/AAAAAAAGCAQ/B00PrB0nscs/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hQOuDOb-Jo0/U_nWUdVii1I/AAAAAAAGCAg/DsPM3FFX-EI/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
9 years ago
MichuziIDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ATEMBELEA KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU.
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Wakimbizi kutoka Burundi waendelea kuwasili kambi ya Nyarugusu, Kasulu Kigoma
Mkimbizi kutoka Burundi, Philipo Nyandungulu, akishuka kutoka kwenye basi baada ya kuwasili katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko Kasulu mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka Burundi imekuwa ikiongezeka siku hadi siku na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Wakimbizi (UNHRC) imekuwa ikiwahifadhi kwa muda katika kambi hiyo.
Baadhi ya wakimbizi kutoka nchini Burundi, wanaohifadhiwa katika...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Serikali yaombwa kusaidia chakula Ngorongoro
SERIKALI imeombwa kuchukua hatua za haraka kuhakikisha inasaidia wananchi waishio katika Tarafa ya Ngorongoro ambao hivi sasa wanakabiliwa na uhaba wa chakula na kuchangia mahudhurio duni ya wanafunzi shuleni. Ombi...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Canada yaombwa kusaidia umeme vijijini
SERIKALI imeiomba Canada kusaidia upatikanaji wa dola za Marekani milioni 300 (sawa na Sh bilioni 480) kwa ajili ya miradi ya kupeleka umeme vijijini.
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
NATO yaombwa kusaidia Afrika Magharibi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7xbLnadHCiw/VBVHK0b9c0I/AAAAAAAGje0/71OE8oIf4r0/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAKIMBIZI KAMBI YA NYARUGUSU WAMPOKEA KWA SHANGWE WAZIRI CHIKAWE WILAYANI KASULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-7xbLnadHCiw/VBVHK0b9c0I/AAAAAAAGje0/71OE8oIf4r0/s1600/PIX%2B1.jpg)