Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATO yaombwa kusaidia Afrika Magharibi

Ulaya imetoa wito kwa jumuia ya kujihami NATO kusaidia mapambano dhidi ya Ebola Afrika magharibi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaombwa kusaidia chakula Ngorongoro

SERIKALI imeombwa kuchukua hatua za haraka kuhakikisha inasaidia wananchi waishio katika Tarafa ya Ngorongoro ambao hivi sasa wanakabiliwa na uhaba wa chakula na kuchangia mahudhurio duni ya wanafunzi shuleni. Ombi...

 

11 years ago

Habarileo

Canada yaombwa kusaidia umeme vijijini

SERIKALI imeiomba Canada kusaidia upatikanaji wa dola za Marekani milioni 300 (sawa na Sh bilioni 480) kwa ajili ya miradi ya kupeleka umeme vijijini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya kimataifa yaombwa kusaidia huduma kambi ya Nyarugusu

IMG_6503

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kulia) na ujumbe wake aliombatana nao Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA) nchini, Dkt. Natalia Kanem (wa pili kushoto) pamoja na Ofisa wa Mambo ya Nje kutoka Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Maulidah Hassan (kushoto) kabla ya kuelekea kambi ya Nyarugusu walipita...

 

11 years ago

BBCSwahili

Emirates yakwepa Afrika Magharibi

Shirika la ndege la Emirates lavunja safari za kwenda Afrika Magharibi kwa sababu ya Ebola

 

10 years ago

BBCSwahili

KQ yavunja safari za Afrika Magharibi

Shirika la ndege la Kenya latangaza kusimamisha safari za kwenda nchi mbili za Afrika Magharibi

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola kutokomezwa Afrika magharibi

Nchi za Afrika magharibi zimekubaliana kuweka mikakati ya pamoja kupambana na ugonjwa wa Ebola

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatikisa Afrika Magharibi

Homa ya Ebola wakati huu inasemekana kuwa kali zaidi kuliko wakati mwingine wowote

 

11 years ago

BBCSwahili

KQ kuendelea na safari Afrika Magharibi

Kenya Airways imesema kuwa athari ya kuambukizwa homa ya Ebola kwa kuzuru Magharibi mwa Afrika sio kubwa.

 

10 years ago

GPL

EBOLA BADO TISHIO AFRIKA MAGHARIBI

TAARIFA iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonyesha jinsi gonjwa hatari la Ebola linavyozidi kuangamiza wananchi katika eneo hilo. Agosti 22 mwaka huu, WHO walitoa taarifa kuwa, jumla ya wagonjwa walioripotiwa kuwa na Ebola ni 2,615 kwenye nchi nne za Afrika Magharibi ambapo kati yao 1,427 wamepoteza maisha kwa ugonjwa huo. Nchini Liberia ambapo ugonjwa huo ulianzia, wagonjwa 1,082 wameripotiwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani