EBOLA BADO TISHIO AFRIKA MAGHARIBI
![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWMtE*GrREoADoByhLynakyEyz7iecoXDsKUMcaHD4qpPp5NRHhr4TjYqkpepy*0nNsh-mfIJue*sSbV0L-K5BV/ebola.jpg?width=650)
TAARIFA iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonyesha jinsi gonjwa hatari la Ebola linavyozidi kuangamiza wananchi katika eneo hilo. Agosti 22 mwaka huu, WHO walitoa taarifa kuwa, jumla ya wagonjwa walioripotiwa kuwa na Ebola ni 2,615 kwenye nchi nne za Afrika Magharibi ambapo kati yao 1,427 wamepoteza maisha kwa ugonjwa huo. Nchini Liberia ambapo ugonjwa huo ulianzia, wagonjwa 1,082 wameripotiwa kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Ebola bado ni Tishio
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Ebola bado tishio
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ebola kutokomezwa Afrika magharibi
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Ebola yatikisa Afrika Magharibi
10 years ago
Habarileo09 Oct
Watanzania 5 kutibu ebola Afrika Magharibi
MADAKTARI watano wa afya wamejitolea kwenda kutoa huduma katika baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na ugonjwa wa ebola. Wataalamu hao walioondoka jana, baadhi yao walizungumza na waandishi wa habari katika mkutano kati ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando na vyombo vya habari.
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Ebola yapoteza ajira,Afrika Magharibi
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ebola yaendelea kuitesa Afrika Magharibi