Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola bado ni Tishio

wakati ugonjwa wa Ebola ukiwa hauna tiba wala chanjo,wadau wa afya wamwagiana lawama.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio

Shirika la Afya Duniani limesema ugonjwa wa Ebola hautaweza kudhibitiwa kikamilifu katika kipindi cha mwaka mmoja unaokuja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio Nigeria

Shule zafunguliwa nchini Nigeria baada ya tishio la maambukizi ya Ebola

 

10 years ago

GPL

EBOLA BADO TISHIO AFRIKA MAGHARIBI

TAARIFA iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonyesha jinsi gonjwa hatari la Ebola linavyozidi kuangamiza wananchi katika eneo hilo. Agosti 22 mwaka huu, WHO walitoa taarifa kuwa, jumla ya wagonjwa walioripotiwa kuwa na Ebola ni 2,615 kwenye nchi nne za Afrika Magharibi ambapo kati yao 1,427 wamepoteza maisha kwa ugonjwa huo. Nchini Liberia ambapo ugonjwa huo ulianzia, wagonjwa 1,082 wameripotiwa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio Sierra Leone

Miili yaonekana katika maeneo ya mgodi wa Almasi nchini Sierra Leone

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Rashid: Kisukari bado tishio

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

SERIKALI inakusudia kuongeza bajeti ya fedha za kununua dawa za kutibu kisukari kwa kuwa ugonjwa huo umeshakuwa tishio hapa nchini.

Akizungumza Dar es Salaam jana katika Mkutano wa Pili wa Pan African Diabetic Foot Study Group, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema fedha hizo zitanunua dawa zitakazotolewa bure kwa wagonjwa wa kisukari.

Alisema licha ya dawa za ugonjwa huo kuwa za gharama...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uharamia bado tishio Somalia

Meja General Martin Smith Mkuu wa Operesheni ya uharamia katika eneo la Bahari ya Hindi amesema uharamia bado tishio somalia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukoma nchini bado tishio

TANZANIA imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 17 duniani ambazo zipo katika viwango vya juu vya wagonjwa wa ukoma. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alitoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya miaka 30, ukimwi bado tishio

Zaidi ya miaka 30 tangu mgonjwa wa kwanza wa ukimwi kugunduliwa Tanzania, lakini madhara yake bado yanaonekana: kiuchumi na jamii.

 

9 years ago

GPL

ALIENS; BADO TISHIO JIPYA DUNIANI!

LIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza jinsi ambavyo kwenye miaka ya hivi karibuni, neno UFO (Unidentified Flying Objects) limechukua kasi hasa nchi za Magharibi, Asia na nyinginezo. Taarifa zisizokuwa rasmi zinadai UFO ni vyombo vya angani kama ndege za ajabu vinavyotumiwa na Aliens ambavyo tabia zake ni tofauti sana na vyombo vyetu vya anga.
SASA ENDELEA… Kuna dhana nyingi mno katika ishu hii ya Aliens. Je, wewe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani