Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya miaka 30, ukimwi bado tishio

Zaidi ya miaka 30 tangu mgonjwa wa kwanza wa ukimwi kugunduliwa Tanzania, lakini madhara yake bado yanaonekana: kiuchumi na jamii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ukimwi, malaria bado tishio kwa Taifa

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania kutambua kuwa magonjwa ya Ukimwi na malaria, bado ni tishio kwa Taifa na ni lazima mapambano dhidi ya magonjwa hayo, yaendelee. Alisema hayo alipokuwa akizindua mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini hapa jana.

 

11 years ago

Habarileo

Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto

HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado ni Tishio

wakati ugonjwa wa Ebola ukiwa hauna tiba wala chanjo,wadau wa afya wamwagiana lawama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio

Shirika la Afya Duniani limesema ugonjwa wa Ebola hautaweza kudhibitiwa kikamilifu katika kipindi cha mwaka mmoja unaokuja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uharamia bado tishio Somalia

Meja General Martin Smith Mkuu wa Operesheni ya uharamia katika eneo la Bahari ya Hindi amesema uharamia bado tishio somalia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio Nigeria

Shule zafunguliwa nchini Nigeria baada ya tishio la maambukizi ya Ebola

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukoma nchini bado tishio

TANZANIA imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi 17 duniani ambazo zipo katika viwango vya juu vya wagonjwa wa ukoma. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alitoa...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Rashid: Kisukari bado tishio

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

SERIKALI inakusudia kuongeza bajeti ya fedha za kununua dawa za kutibu kisukari kwa kuwa ugonjwa huo umeshakuwa tishio hapa nchini.

Akizungumza Dar es Salaam jana katika Mkutano wa Pili wa Pan African Diabetic Foot Study Group, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema fedha hizo zitanunua dawa zitakazotolewa bure kwa wagonjwa wa kisukari.

Alisema licha ya dawa za ugonjwa huo kuwa za gharama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio Sierra Leone

Miili yaonekana katika maeneo ya mgodi wa Almasi nchini Sierra Leone

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani