Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto
HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 May
Ukimwi, malaria bado tishio kwa Taifa
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka Watanzania kutambua kuwa magonjwa ya Ukimwi na malaria, bado ni tishio kwa Taifa na ni lazima mapambano dhidi ya magonjwa hayo, yaendelee. Alisema hayo alipokuwa akizindua mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini hapa jana.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Seli mundu tishio kwa watoto
ASILIMIA 90 ya watoto zaidi ya 8,000 wanaozaliwa na ugonjwa wa seli mundu kila mwaka nchini, hufariki dunia kabla ya kufikisha miaka mitano. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam...
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Zaidi ya miaka 30, ukimwi bado tishio
10 years ago
Vijimambo06 Jan
UPUNGUFU WA POTASSIUM MWILINI, WAWEZA KUWA TISHIO KWA USALAMA WA MOYO .
![](http://img.webmd.com/dtmcms/live/webmd/consumer_assets/site_images/articles/health_tools/foods_to_boost_mens_health_slideshow/photolibrary_rm_photo_of_bananas.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
WHO:Cuba haina Kaswende, ukimwi kwa watoto
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Watoto wazidi kufanyiwa ukatili
9 years ago
StarTV23 Sep
Kipindupindu chazidi kuwa tishio Dar:
Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuwa tishio kwa afya na maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutokana na ongezeko la wagonjwa na vifo katika manispaa mbili kati ya tatu za jiji hilo.
Ugonjwa huo awali uliikumba Manispaa ya Kinondoni lakini sasa umeenea katika Manispaa ya Ilala na Temeke ambako kumelazimisha kufungwa baadhi ya visima vya maji na kupigwa marufuku biashara ya vyakula na matunda.
Hadi sasa imethibitishwa jiji la Dar es Salaam kuwa bado si salama kwa ugonjwa wa...
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Ongezeko la joto lazidi kuwa tishio
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Adhabu kali kwa kuwa na watoto 3 China