Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO:Cuba haina Kaswende, ukimwi kwa watoto

Shirika la afya duniani WHO, limethibitisha kuwa Cuba imemaliza kabisa maambukizi ya ukimwi kutoka kwa mama mzazi na Kaswende

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto

HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-4

TUNAENDEA kuchambua ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, leo tutaeleza madhara kwa watoto walio tumboni. Endelea... Wakati wa kuugua aina hii ya kaswende, muathirika huwa hana dalili wala viashiria vyovyote vile na uwezo wake wa kuambukiza mtu mwingine huwa chini au hawezi kabisa kumuambukiza ugonjwa huu mtu mwingine. Kaswende ya baadaye
Asilimia 30 ya wagonjwa wa kaswende ambao hawakupata tiba hapo awali huingia kwenye kundi...

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-2

Toleo lililopia tulichambua athari za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, tukaeleza mengi. Endelea... Ugonjwa huu unaambukizwa kwa njia ya kujamiiana bila kutumia kinga (ngono zembe) dhidi ya mtu mwenye ugonjwa huo. Njia nyingine ni mwanamke aliyeambukizwa ugonjwa huo wakati wa ujauzito anaweza kumuambukiza mtoto wake wakati wa ujauzito. Pia huambukizwa kupitia michubuko au mipasuko kwenye ngozi wakati wa kufanya ngono zembe.
...

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-3

Kidonda hiki kinaweza kuwepo kwa muda wa wiki tatu hadi sita kama mtu hatapata matibabu, na hutoweka chenyewe bila tiba au baada ya kupata tiba. Kaswende ya aina ya pili
Shirika la Idhaa ya Kiswahili ya Redio Tehran la nchini Iran, linasema robo tatu ya watu ambao hawapati tiba, huishia kuingia kwenye kundi la kaswende ya aina ya pili yaani Secondary Syphilis.
Aina hii hutokea wiki 4 hadi 10 baada ya mtu kupata kaswende ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahabusu ya watoto Tanga haina maji safi

WATOTO wanaotumika adhabu za vifungo katika  mahabusu ya watoto Barabara ya 16 Tanga, wapo hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na ukosefu wa huduma ya maji safi kwa zaidi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya Ukimwi yatishia uhai wa watoto

>Maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yameelezwa kuwa tishio na asilimia 50 ya watoto wanaozaliwa na virusi vya ugonjwa huo hupoteza maisha ndani ya miaka miwili tangu kuzaliwa wasipopatiwa dawa za kupunguza makali ya virusi (ARV).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto yatima, ujinga, umasikini na Ukimwi

DESEMBA mwaka 2002, nilitoa mada juu ya Ukimwi, katika Kongomano la kimataifa juu ya Ukimwi, lililofanyikia Arusha. Kwa unyenyekevu mkubwa niliunga mkono matumizi ya kondomu, kama njia mojawapo ya kuzuia...

 

10 years ago

GPL

KONGAMANO LA TAIFA LA WATOTO, VVU NA UKIMWI KUFANYIKA DAR

Sehemu ya bango likiwa na ujumbe kuhusu  watoto. Mratibu Huduma za Tiba na Mafunzo za VVU na Ukimwi kwa Watoto, Dkt Anath Rwebembeza akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Makamu wa Rais na Mtendaji Mkuu…

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI ZOKA AWASILISHA HATI ZA UWAKILISHI KWA MAKAMU WA RAIS WA CUBA

Balozi wa Tanzania nchini Canada na Cuba Mhe. Jack Mugendi Zoka aliwasilisha Hati za Uwakilishi kwa Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdes Mesa katika Ikulu ya nchi hiyo ijulikanayo kama ´Revolutionary Palace´.
Mhe. Balozi aliambatana na Mama Balozi Bibi Esther Zoka na Afisa wa Ubalozi Bw. Paul Makelele. Sherehe hiyo pia ilihudhuriwa na Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Cuba, Mhe. Balozi Miguel Lamazares Puello na Maafisa wengine kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na ofisi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani