Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-4

TUNAENDEA kuchambua ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, leo tutaeleza madhara kwa watoto walio tumboni. Endelea... Wakati wa kuugua aina hii ya kaswende, muathirika huwa hana dalili wala viashiria vyovyote vile na uwezo wake wa kuambukiza mtu mwingine huwa chini au hawezi kabisa kumuambukiza ugonjwa huu mtu mwingine. Kaswende ya baadaye
Asilimia 30 ya wagonjwa wa kaswende ambao hawakupata tiba hapo awali huingia kwenye kundi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-2

Toleo lililopia tulichambua athari za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, tukaeleza mengi. Endelea... Ugonjwa huu unaambukizwa kwa njia ya kujamiiana bila kutumia kinga (ngono zembe) dhidi ya mtu mwenye ugonjwa huo. Njia nyingine ni mwanamke aliyeambukizwa ugonjwa huo wakati wa ujauzito anaweza kumuambukiza mtoto wake wakati wa ujauzito. Pia huambukizwa kupitia michubuko au mipasuko kwenye ngozi wakati wa kufanya ngono zembe.
...

 

11 years ago

GPL

ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-3

Kidonda hiki kinaweza kuwepo kwa muda wa wiki tatu hadi sita kama mtu hatapata matibabu, na hutoweka chenyewe bila tiba au baada ya kupata tiba. Kaswende ya aina ya pili
Shirika la Idhaa ya Kiswahili ya Redio Tehran la nchini Iran, linasema robo tatu ya watu ambao hawapati tiba, huishia kuingia kwenye kundi la kaswende ya aina ya pili yaani Secondary Syphilis.
Aina hii hutokea wiki 4 hadi 10 baada ya mtu kupata kaswende ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Daktari anayewasaidia wanawake wajawazito kukabiliana na athari

Wakati serikali ya Kenya ilipotangaza amri ya kutotoka nje wakati wa usiku, wanawake wajawazito wanaohitaji usaidizi wa dharura waliathirika. Dkt Jemimah aliwasaidia.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Cuba haina Kaswende, ukimwi kwa watoto

Shirika la afya duniani WHO, limethibitisha kuwa Cuba imemaliza kabisa maambukizi ya ukimwi kutoka kwa mama mzazi na Kaswende

 

11 years ago

Mwananchi

Kuzaliana kwa wingi huongeza vifo kwa wajawazito

Hivi karibuni dunia iliadhimisha Siku ya Utepe Mweupe na Uzazi Salama, ambayo iliambatana na kaulimbiu ya, ‘Wajibika Mama Aishi’.

 

11 years ago

Michuzi

Kufikia kikomo kwa Windows XP, nini athari zake kwa mtumiaji?


Mnamo tarehe 8/4/2014 kampuni ya utengenezaji wa mitambo endeshi ya kompyuta (Operating Systems) ya Microsoft ilisitisha utoaji wa huduma za muda mrefu kwa mitambo ya XP, ni moja ya mitambo endeshi inayotumika na watu wengi sana.Tangu kutoka kwa taarifa hizo, kumekuwa na maneno na mikanganyiko mingi mno kwa wateja hususan hapa Tanzania.
Kwakuwa ni mitambo inayotumika kwa weingi kwenye kompyuta nyingi zinazotumika kwenye mabenki na maofisini, hivyo watu walifika mbali hata kusema eti pesa...

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI YA FANGASI KWA WAJAWAZITO

WIKI iliyopita tuliona jinsi fangasi wanavyoambukiza na kusababisha madhara mbalimbali sehemu za siri.
Leo tunakwenda mbele zaidi kwa kuangazia akina mama wenye ujauzito ambao hupata fangasi hawa kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili. Hata hivyo, ieleweke kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya ya fangasi wa Candida albicans.
Matumizi ya dawa za kupanga uzazi  maarufu...

 

11 years ago

Mwananchi

Kaswende, mawazo, vyaweza kukusababishia uwe na kipara

Kipara ni kitu ambacho kinawapata watu wengi walioko sehemu mbalimbali duniani. Takwimu zinaonyesha kuwa takriban asilimia 50 ya wanaume kwa nyakati tofauti maishani mwao hujikuta wanapata kipara.

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA UNENE KWA WAJAWAZITO NA WATOTO

Na Dk Mandai A Simu 0717961795, 0754391743 Unapaswa kujua kuwa, wanawake wenye uzito wa kupitiliza (obese women) wakiwa wajawazito wanakabiliwa na hatari ya kupata madhara makubwa. Madhara hayo ni kama haya yafuatayo, kupata ugonjwa wa kisukari cha ujauzito ambacho ni hatari kwa maisha yake. Mjamzito pia anaweza kupata matatizo ya shinikizo la damu wakati… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani