Kaswende, mawazo, vyaweza kukusababishia uwe na kipara
Kipara ni kitu ambacho kinawapata watu wengi walioko sehemu mbalimbali duniani. Takwimu zinaonyesha kuwa takriban asilimia 50 ya wanaume kwa nyakati tofauti maishani mwao hujikuta wanapata kipara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono
Moja ya vitendo vya mwili ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu kujizuia ni kutetemeka. Wataalamu wanabainisha kuwa, kuna baadhi ya aina za kutetemeka zinazowapata watu ambao wana afya njema na aina zingine hutokea kama athari hasi za matumizi ya dawa aina fulani. Lakini kwa sehemu kubwa, kutetemeka kwa baadhi ya viungo vya mwili, ni moja ya dalili za baadhi ya magonjwa yanayoshambulia mfumo wa fahamu.
11 years ago
GPL
KIPARA CHA WEMA CHAMDATISHA DIAMOND
Wena na Diamond. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ameonekana kudatishwa na kipara cha mpenzi wake Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu baada ya kutupia picha yao inayomwonesha Wema mwenye kipara katika akaunti yake ya Instagram. Baada ya kuweka picha hiyo, Diamond aliandika yafuatayo:…
11 years ago
GPL
ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-3
Kidonda hiki kinaweza kuwepo kwa muda wa wiki tatu hadi sita kama mtu hatapata matibabu, na hutoweka chenyewe bila tiba au baada ya kupata tiba. Kaswende ya aina ya pili
Shirika la Idhaa ya Kiswahili ya Redio Tehran la nchini Iran, linasema robo tatu ya watu ambao hawapati tiba, huishia kuingia kwenye kundi la kaswende ya aina ya pili yaani Secondary Syphilis.
Aina hii hutokea wiki 4 hadi 10 baada ya mtu kupata kaswende ya...
11 years ago
GPL
ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-4
TUNAENDEA kuchambua ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, leo tutaeleza madhara kwa watoto walio tumboni. Endelea... Wakati wa kuugua aina hii ya kaswende, muathirika huwa hana dalili wala viashiria vyovyote vile na uwezo wake wa kuambukiza mtu mwingine huwa chini au hawezi kabisa kumuambukiza ugonjwa huu mtu mwingine. Kaswende ya baadaye
Asilimia 30 ya wagonjwa wa kaswende ambao hawakupata tiba hapo awali huingia kwenye kundi...
11 years ago
GPL
ATHARI ZA KASWENDE KWA WAJAWAZITO-2
Toleo lililopia tulichambua athari za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, tukaeleza mengi. Endelea... Ugonjwa huu unaambukizwa kwa njia ya kujamiiana bila kutumia kinga (ngono zembe) dhidi ya mtu mwenye ugonjwa huo. Njia nyingine ni mwanamke aliyeambukizwa ugonjwa huo wakati wa ujauzito anaweza kumuambukiza mtoto wake wakati wa ujauzito. Pia huambukizwa kupitia michubuko au mipasuko kwenye ngozi wakati wa kufanya ngono zembe.
...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Vifo vya wajawazito vyaweza kuzuilika
Takwimu za hivi karibuni hapa nchini zinaonyesha kwamba kwa mwaka, Tanzania inapoteza kina mama 7,900 kutokana na sababu zitokanazo na ujauzito. Idadi hiyo ni sawa na vifo 22 kwa siku.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Nyama, maziwa vyaweza kukuambukiza kifua kikuu
Kitaalamu, TB ni ugonjwa unaoambukizwa kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa.
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
WHO:Cuba haina Kaswende, ukimwi kwa watoto
Shirika la afya duniani WHO, limethibitisha kuwa Cuba imemaliza kabisa maambukizi ya ukimwi kutoka kwa mama mzazi na Kaswende
11 years ago
Mwananchi27 Jun
FAHAMU: Furaha, kicheko vyaweza kutibu mafua
>Mafua yanaweza kuwa moja ya sababu kubwa inayofanya watu wengi kushindwa kwenda kazini, katika shughuli mbalimbali za uzalishaji au kuhudhuria shuleni na kwenda kutafuta msaada wa kitabibu hospitalini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania