FAHAMU: Furaha, kicheko vyaweza kutibu mafua
>Mafua yanaweza kuwa moja ya sababu kubwa inayofanya watu wengi kushindwa kwenda kazini, katika shughuli mbalimbali za uzalishaji au kuhudhuria shuleni na kwenda kutafuta msaada wa kitabibu hospitalini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Vifo vya wajawazito vyaweza kuzuilika
Takwimu za hivi karibuni hapa nchini zinaonyesha kwamba kwa mwaka, Tanzania inapoteza kina mama 7,900 kutokana na sababu zitokanazo na ujauzito. Idadi hiyo ni sawa na vifo 22 kwa siku.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Nyama, maziwa vyaweza kukuambukiza kifua kikuu
Kitaalamu, TB ni ugonjwa unaoambukizwa kutoka mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Kaswende, mawazo, vyaweza kukusababishia uwe na kipara
Kipara ni kitu ambacho kinawapata watu wengi walioko sehemu mbalimbali duniani. Takwimu zinaonyesha kuwa takriban asilimia 50 ya wanaume kwa nyakati tofauti maishani mwao hujikuta wanapata kipara.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono
Moja ya vitendo vya mwili ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu kujizuia ni kutetemeka. Wataalamu wanabainisha kuwa, kuna baadhi ya aina za kutetemeka zinazowapata watu ambao wana afya njema na aina zingine hutokea kama athari hasi za matumizi ya dawa aina fulani. Lakini kwa sehemu kubwa, kutetemeka kwa baadhi ya viungo vya mwili, ni moja ya dalili za baadhi ya magonjwa yanayoshambulia mfumo wa fahamu.
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Mafua ya ndege yathibitishwa Uingereza
Ugonjwa wa mafua ya ndege unachunguzwa katika shamba moja huko Yorkshire, Uingereza
10 years ago
Vijimambo12 Dec
MSIMU WA MAFUA MAKALI MAREKANI
Habari kutoka kituo cha
kudhibiti magojwa nchini Marekani “Center for Disease Control” ( CDC) 2014 -2015, inatufahamisha kuhusu kipindi cha mafua makali ( Severe FLU Season). Kipindi hiki kilichotawaliwa zaidi na virusi vya A H3N2,hujulikana kwa kuleta homa kali, ongezeko la wagojwa mahospitalini na hata vifo. CDC inatukumbushia umuhimu wa kila mmoja kupata Chanjo ya Flu na tiba ya haraka ya kupamba na virusi (Anti-viral drugs treatment) hasa kwa watu walio na kinga hafifu....
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Wachezaji wa Ujerumani waugua mafua
Wachezaji 7 wa Ujerumani, wanaugua mafua , saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa.
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
Fanya mazoezi makali uzuie Mafua
Kufanya mazoezi makali katika kipindi cha saa mbili unusu kila wiki kunaweza kukuzuia kushikwa na mafua.
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Ulaya kudhibiti zaidi mafua ya ndege
Ulaya inaimarisha hatua zaidi katika kukabiliana na milipuko ya ugonjwa wa mafua ya ndege
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania