Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono
Moja ya vitendo vya mwili ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu kujizuia ni kutetemeka. Wataalamu wanabainisha kuwa, kuna baadhi ya aina za kutetemeka zinazowapata watu ambao wana afya njema na aina zingine hutokea kama athari hasi za matumizi ya dawa aina fulani. Lakini kwa sehemu kubwa, kutetemeka kwa baadhi ya viungo vya mwili, ni moja ya dalili za baadhi ya magonjwa yanayoshambulia mfumo wa fahamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Kaswende, mawazo, vyaweza kukusababishia uwe na kipara
11 years ago
Mwananchi30 May
‘Kushikana mikono chanzo cha kusambaza magonjwa’
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Takataka zaweza kuwa chanzo cha kipato
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Viongozi wanaweza kuwa chanzo cha kuvuruga amani
MWANZONI mwa wiki hii viongozi wa Jiji la Dar es Salaam wanaonekana kupitisha azimio la kuuweka mji huo katika muonekano wa usafi, sipingani na hoja yao hiyo lakini kikubwa kilichonifanya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMtPcVOisjjj6*8bFsa6nIpJtyZOGjij77C*6MfasUDhCM8N*eh3BpPHpNUxY5zTzbZJo*BlxDbzYNMwhJsK8avq/FRONTJUMAMOSI.jpg)
DAKTARI AANIKA CHANZO CHA MASTAA KUWA WAGUMBA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qz-_hjjdRrA/VItTfTfuZRI/AAAAAAAG240/6ociH8YFSuM/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
VYOMBO YA HABARI VINA UWEZO WA KUZUIA AU KUWA CHANZO CHA MACHAFUKO.
10 years ago
VijimamboVYOMBO VYA HABARI VINAWEZA KUZUIA AU KUWA CHANZO CHA MACHAFUKO
9 years ago
Bongo530 Dec
Michael Ross wa Uganda awachana Ma DJ na Mashabiki kuwa ndio chanzo cha kutosikika sana
![Michael Ross](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/04/Michael-Ross-145x200.jpeg)
Wanamuziki huwa wanakutana na changamoto nyingi katika kazi zao, zikiwemo lawama za kutotoa kazi kwa wakati, lakini pale wanapotimiza majukumu yao bado wanakosa support kutoka kwa hao hao mashabiki.
Muimbaji wa R&B kutoka Uganda, Michael Ross ameamua kabla ya kuuaga mwaka 2015 kutoa ya moyoni , na kujibu swali ambalo amekua akikutana nalo mara kwa mara la kwanini hasikiki sana kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
Kupitia Facebook Michael ametoa majibu ya swali hilo:
“Nakutana na watu wengi...
9 years ago
Mwananchi20 Aug