Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama adaiwa chanzo mikono ya mwanae kukatwa

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

'Wezi kukatwa mikono na wazinifu kupigwa mawe'

Hii ndio sheria mpya itakayoanza kutumika nchini Brunei nchi ya kiisilamu Kusini Mashariki mwa Asia. Nchi hii ni jirani na Malaysia na Indonesia

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kushikana mikono chanzo cha kusambaza magonjwa’

>Kutokana na tabia ya kuambukiza, magonjwa yanaweza kugawanywa kimsingi katika makundi makuu mawili, yaani magonjwa yasiyoambukiza au magonjwa yanayoambukiza.

 

9 years ago

Mwananchi

Kuzeeka ubongo, kaswende vyaweza kuwa chanzo cha tatizo la kutetemeka mikono

Moja ya vitendo vya mwili ambavyo viko nje ya uwezo wa mtu kujizuia ni kutetemeka. Wataalamu wanabainisha kuwa, kuna baadhi ya aina za kutetemeka zinazowapata watu ambao wana afya njema na aina zingine hutokea kama athari hasi za matumizi ya dawa aina fulani. Lakini kwa sehemu kubwa, kutetemeka kwa baadhi ya viungo vya mwili, ni moja ya dalili za baadhi ya magonjwa yanayoshambulia mfumo wa fahamu.

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO ALILIA JASHO LA MWANAE!

Na Shani Ramadhani
MAMA mzazi wa marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Millionea’,  Bi. Zuwena Mkieti amewataka waandaaji wa filamu za Kitanzania kusitisha mara moja matumizi ya sinema za mwanaye huku akishusha lawama nzito. Mama Sharo. Akizungumza kwa njia ya simu na ‘kiranja’ wetu mwanzoni mwa wiki hii, mama huyo alidai kujisikia uchungu kuona kazi za mwanaye zinazidi kuingia sokoni huku familia yake...

 

10 years ago

GPL

MAMA JOKATE AAMUA KUMFUNGUKIA MWANAE

Stori: Hamida Hassan na Ng’osha Gabriel
Vunja ukimya! Kwa mara ya kwanza, mama mzazi wa mwanamitindo na mkurugenzi wa brand ya urembo ya Kidoti, Jokate Mwegelo, Benadertha Ndunguru amemfungukia mwanaye baada ya kuingia ubia na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya nchini China inayomuingizia mabilioni ya fedha. Mkurugenzi wa brand ya urembo ya… ...

 

10 years ago

Vijimambo

Mama Amuua Mwanae kisa kuwa na Masikio Marefu

Mama amemuua mwanae baada ya kutaka kumuondolea aibu ya kuwa na masikio makubwa.Inadaiwa mama huyo amesababisha kifo hicho akidhani kwamba mwanae akibaki na masikio makubwa yatamfanya akose raha maishani mwake kulingana na sheria za Uturuki atakabiliwa na kesi ya mauaji.Nuray Sacan mwenye umri wa miaka 37 alitoa kiasi cha fedha ili mwanae aweze kufanyiwa upasuaji kwenye hospital ya Gazi jijini Ankara lakini oparesheni hiyo haikuweza kufanikiwa baada ya masikio hayo kubaki katika hali ile...

 

10 years ago

Dewji Blog

Masikini mama huyu kwa maumivu anayoyapata, aomba kukatwa mguu

JAMII imeombwa kutoa msaada wa hali na mali kwa Bi. GRACE KAIZA mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye ameomba kukatwa mguu wake kutokana na Saratani ( Kansa) katika mguu huo.

Akizungumza na *JEMBE Habari* Bi. Grace Kaiza amesema amekuwa akisumbuliwa na maradhi hayo kwa muda mrefu jambo lililomuathiri kwa kiasi kikubwa kiafya na hata kiuchumi.

Akielezea namna tatizo hilo lilivyompata amesema lilianza kama uvimbe katika mguu wake kisha kufanyiwa upasuaji mara kadhaa lakini haikusaidia na ndipo...

 

10 years ago

Bongo5

Sugu amshtaki mama wa mtoto wake Faiza, anahisi anamharibu mwanae

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu amemshtaki aliyewahi kuwa mchumba wake Faiza Ally na aliyezaa naye mtoto kwa madai kuwa mwanamke huyo hana maadili na anahofia atamharibu mtoto wao. Sugu anataka kumchukua mtoto huyo na aishi naye (child custody). Faiza ameiambia Bongo5 kuwa baada ya siku chache zilizopita kupandishwa kizimbani na kujibu shtaka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani