Mama Amuua Mwanae kisa kuwa na Masikio Marefu
![](http://4.bp.blogspot.com/-K8CA7KPZNfc/VOQH_Q2uuwI/AAAAAAADZvw/iQHKGvC0wB0/s72-c/polls_i_au_crescut_urechile_cam_mari_1223584084_2034_227385_poll_xlarge.jpeg)
Mama amemuua mwanae baada ya kutaka kumuondolea aibu ya kuwa na masikio makubwa.Inadaiwa mama huyo amesababisha kifo hicho akidhani kwamba mwanae akibaki na masikio makubwa yatamfanya akose raha maishani mwake kulingana na sheria za Uturuki atakabiliwa na kesi ya mauaji.Nuray Sacan mwenye umri wa miaka 37 alitoa kiasi cha fedha ili mwanae aweze kufanyiwa upasuaji kwenye hospital ya Gazi jijini Ankara lakini oparesheni hiyo haikuweza kufanikiwa baada ya masikio hayo kubaki katika hali ile...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Sep
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Mtoto amuua mama’ke kisa mali
Mume wa marehemu akiwa pembeni ya mwili wa mkewe.
Na Dustan Shekidele, UWAZI
MOROGORO: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Kijana Said Ally Mwinyimvua anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro akidaiwa kumuua kwa kumcharanga mapanga mama yake mzazi, Sikuzani Said (70), kisa kikidaiwa kuwa ni kunyimwa wali (ubwabwa) na kupewa mdogo wake, Abass ambaye ni mziwanda, Uwazi linakupasha.
Tukio hilo lililoacha majonzi, lilijiri wiki iliyopita nyumbani kwa familia hiyo, Kijiji cha Kungwe,...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Mganga amuua mwanaye kisa kazaliwa katanguliza makalio
MTOTO Regina Geofrey (miezi 14), ameuawa kwa kunyongwa na baba yake mzazi Geofrey Kilingwa ‘Simbaiwe’ (27), kwa madai alizaliwa akiwa ametanguliza makalio yake. Baba wa binti huyo ambaye pia ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P1afYajBhxA3y2zQlAbVFpgNe4eAp0XepO2O346JAzlGRWPOUVr5dak8TMeLOiZgI5-EXMox-RR*l7Ntk6yJlM28hY2LsBso/BACKUWAZI.jpg)
DADA AMUUA KAKA YAKE KWA KISU KISA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-4KXAJZ-Lg5Z9D2IdIQGfCnv6ZHlwv3lxvf19knMVmVg9B2rbUv8bVrqcxAPxqgHOxUEsW-7McEOAa9D5l4rQSQ/sharo.jpg?width=650)
MAMA SHARO ALILIA JASHO LA MWANAE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uSctN3EoJa8XSUrunzpNNXBy0am8p7gPkb2JSwHnLgoRg5A4KQ0TUMgU10kqEg7V63GNL0*4aNEsmvkEJsF4b5zh8/mamajokate.jpg)
MAMA JOKATE AAMUA KUMFUNGUKIA MWANAE
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Ambaka, amuua mama yake mzazi
MTU anayedhaniwa kuwa ni mgonjwa wa akili, amembaka na kumuua kwa kumpiga fimbo kichwani na usoni kisha kumnyonga shingo mama yake mzazi mwenye miaka 73, mkazi wa Kijiji cha Ibungila...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9B74-zwzbZkbxc1aWpX3Daduttt-2pDrym1Di7LE2mwZ2Lcx-MHlDYMTQv6no1n7s0MAN0kLXgTFK7-q8jMPMh/yyakukojoa.jpg)
MADAI MAZITO MAMA AMUUA MTOTO