Ukishangaa ya mussa: Sikiliza na angalia kisa hiki cha mtoto kuwa mume wa mama yake mzazi....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Aliyemchinja mama yake kisa ni hiki
Na Waandishi Wetu, UWAZI
DAR ES SALAAM: Simulizi inauma! Baada ya Erasto Kilaini, 23, (pichani) mkazi wa Mtaa wa Fida Hussein, Vingunguti Kiembembuzi, Dar kumchinja mpaka kumuua mama yake mzazi, Margaret Kilaini (47) na jirani yao, Mama Alonso, chanzo cha unyama huo kimejulikana, Uwazi lina kisa kamili.
Erasto ambaye pia ni marehemu, anadaiwa kutenda ukatili huo, Desemba 18, mwaka huu nyumbani kwao huko, hali iliyoacha simanzi mpaka sasa.
WALIVYOSEMA WANAOJUA
Kwa mujibu wa mtu mmoja...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
Mtoto afanyiwa unyama na mama yake mzazi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mwaruanda-December19-2013.jpg)
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita amefanyiwa visa vya kinyama na mama yake mzazi, ambaye anadaiwa kumjeruhi vibaya kwa kumchoma moto mikono yake na kisha kumfungia ndani kwa siku nne akiugulia majeraha bila kutibiwa wala kula chakula.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, mama aliyefanya ukatili huo (jina linahifadhiwa) ni mkazi wa mtaa wa Eden, Manispaa ya Sumbawanga, mkoani hapa.
Inadaiwa mama huyo...
11 years ago
Michuzi01 Mar
ukishangaa ya mussa....
![](http://www.infojustice.com/Drug%20Lord16.jpg)
10 years ago
Bongo Movies14 Apr
Hiki Ndio Chazo cha Wema Kufunguka Kuwa Uwezo Hana Wakupata Mtoto
Hivi juzi kati staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu aliandika kupitia ukursa wake mtandaoni akilelezea machungu aliyonayo kwa kutokuwa na uwezo wa kupata mtoto lakini yote kamuachia Mungu hii ni kutokana na watu kumuandama sana mtandaoni kuhusu swala hilo. Sakata zima lilianzia hapa.
Wema kupitia ukurasa wake mtandaoni alimpongeza staa mwenzake Hamisa Mobeto kwa kujifungua mtoto kwa kubandika picha hiyo hapo juu ana kuandika;
“They say u are nat yet a woman Until you experience...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PIJUTubi-U8/Xr_LGTECp-I/AAAAAAAC5cA/aMOU_ZokYIYpwY00EUKo2EN8a4Ol7phuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AMUUA MAMA YAKE MZAZI KISHA KUINYWA DAMU YAKE
Na.Vero Ignatus Arusha.
Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake Mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe, baada ya kumuua kwa shoka na kutenganisha shingo,mkono na mguu na kiwiliwili.
Akizungumza kwa masikitiko, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amesema mtuhumiwa huyo alifanya mauaji hayo Mei 15 mwaka huu, majira ya saa 9:00 mchana katika Kijiji cha Sakila...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7JsTUTdCGDlIY4pvD6ddVkSGR0WFQpv7TZvqw-p4IU4TrnLLwFNJIk6OhjkQHgy*aqsM3r1SANAwYHmZGwov5*NR/Magamba.jpg?width=650)
MKE ASEMA: MUME KANITIMUA KISA, NIMEZAA MTOTO MWENYE MAGAMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4wtdGS2Zm9CK88JI*QY2QsOfHip4fFVf1cBCI2i8DwlSCdIwlM*SjiA3txGHTxh6I9aVFD8QZEjlkef2-sM5azP/UPASUAJI.jpg)
MAMA: KIPIGO CHA BABA YAKE KIMESABABISHA MTOTO AFANYIWE UPASUAJI WA KICHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgJIXYLYOfNr6QbtLLQx7PJdkEqL4XqKl5JVXZpbVH-qsaS0kkPjCuiuE0C626rdLfj84CHDthKgKZalvFAb*jw/AJALI1.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYOOMBOLEZA KIFO CHA MAMA YAKE ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA GARI ARUSHA