MTOTO ALIVYOOMBOLEZA KIFO CHA MAMA YAKE ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA GARI ARUSHA
![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgJIXYLYOfNr6QbtLLQx7PJdkEqL4XqKl5JVXZpbVH-qsaS0kkPjCuiuE0C626rdLfj84CHDthKgKZalvFAb*jw/AJALI1.jpg?width=650)
Marehemu Calista Charles Makoi enzi za uhai wake. Kijana akiomboleza kifo cha mama yake, aitwaye Calista Charles Makoi aliyefariki kwenye ajali mbaya iliyolihusisha basi la Mrindoko Trans na gari dogo lililokuwa linaendeshwa na mwanamke huyo ambaye ni mke wa mmiliki wa Hoteli na Klabu ya AQ iliyopo jirani na stendi ya mabasi jijini Arusha Januari 5, 2015 maeneo ya Kikatiti mkoani Arusha. Taswira ya ajali hiyo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar
Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo
Na Mwandishi Wetu.
[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.
Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bfbyBD4ZeNQ/VYuukDMJTCI/AAAAAAABBNo/XRO-bQYO0Gw/s72-c/Nd.jpg)
MWANAMKE NA MTOTO WAKE WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bfbyBD4ZeNQ/VYuukDMJTCI/AAAAAAABBNo/XRO-bQYO0Gw/s640/Nd.jpg)
Mwanamke huyo Maria Nelly Murillo, 18, na mtoto wake wa mwaka mmoja wamekutwa na waokoaji karibu na ndege hiyo yao ndogo aina ya Cessna iliyoanguka kwenye Mkoa wa Choco.
Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Kolombia ameelezea kuwa kunusurika kwa mama huyo na mtoto wake ni muujiza. Murillo alikuwa na majeruhi na kuungua lakini mtoto wake alikuwa mzima...
11 years ago
Habarileo06 Jun
Baba, mama wasababisha kifo cha mtoto
POLISI mkoani Rukwa inamshikilia baba mzazi huku ikimsaka mama wa mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja, Denis Umera aliyefariki dunia kutokana na kilichodaiwa ni ugomvi wa wazazi hao uliotokana na wivu wa mapenzi.
10 years ago
Michuzi24 Aug
MH. MWIGULU NCHEMBA ASITISHA SAFARI YAKE KWA MUDA ILI KUOKOA MAJERUHI KATIKA AJALI YA GARI
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zNSUlad0f0waWsFOdB5TagOux0BJktrAtUiOmPzXHqRjttpbGrgPhWPZkZbba6JozK24hxPqady5HnzWfmuv41b5tqNT-VHYA9pA9wVV0up5kqOjgAoMO7ZmVAzXjGiwgqaAhWFm7AHBsbNMXMlHeD2DqS0CvPIykuJiiN3aPH9Nm2yyhA2HcKY4l4qXd_gu-sjyVj1vp6nixnZsCTl9iexZEnkH4qnqiDUNRdr-bngLZ_ZcC_mGMnwhtExBxqwFqMbGH0Ku69WN-9QM0WyTBjtEUePcsQQt-JjqFUy1X0sGzlNamm95HKnfdbA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10250342_280900248778877_347680025182044098_n.jpg?oh=23b9cfd01c14c4381d5172620916f2ab&oe=5461CCB1&__gda__=1417320399_db63509e4b817492a59ae81dafb1b89a)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/8wf6dWeWJi36DjT6xNX2AmlfXJSHR4QrYj_gzNxSXKXTWi4qtb_6jaXOxJVlN5AkkENW0Qod7IkL0n69_UkMS2uThtbJnICdRQosdQVUp8VfK_JQRj2uWj3TqaohP1vrRJaD3oNN7ZOTUxwpyk2pokN8gF2wxjXn1_iX_sjK9Wvkot6cuXs8AkqsEooLDXYRN3l4LhOEimHC7Jnh53IDa1YEtpipT7tV1-kExDtuN0Y5QQg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10511125_280900188778883_2263182981070753717_n.jpg?oh=57f90863f692a4cb510ae6029f1dd0fa&oe=54811CFC)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/uNb8WgcuWX6P5qXLdrmuoVxacJc6sl-R_x0_pJiVYvYs3hDcgBw2hfcCqfLs4JALif0oJxMkjSBQFKenYnvNwWYsT2kaufmTRtHi5Dy4xQDB-ZNgroV2jM8pzGW3fgxhgjsxXFdtfSRLfSsOXKvavrq5cTFy0lUY3kaB5lMsTdgkMySBmsTF6cysXhZ8WR9auLxUlfZQBKBv2C802qNdh4lYea-bcqO-BQJEfTB7f_YJ3-VO043b41SUhvUXuXvP8nbQygTWuGZlOX1yVK_oMBmyCl4GZkWYaWwxDTJjPsZRVtpflPZpZpxk1LFX=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10629866_280900275445541_1641465419404022922_n.jpg?oh=f157a76850a17118d2fa08b4dc24159f&oe=5480E7A7&__gda__=1417158267_202c931c85e15e7a9aa7d40a4ae5e9d2)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s72-c/YJ.jpg)
MTOTO JAJI MSTAAFU AZUNGUMZIA KIFO CHA BABA YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-G83MYTaanvY/Xqfe-1HUtFI/AAAAAAAAymU/QSa7nq0YpUcPhpo1d4s_oJM3FUJKpwBmACLcBGAsYHQ/s400/YJ.jpg)
"Ni kweli amefariki leo mida ya saa 2 asubuhi, alikuwa Aga khan na baadaye akaenda Kenya kwa matibabu zaidi na baadaye akarudi nyumbani lakini akawa bado anaumwa, sasa hivi wana familia wanafanya taratibu kwa chochote kitakachotokea...
10 years ago
GPLMTOTO TABIA MKULUKUTE ALIYEFARIKI JANA BAADA YA KUGONGWA NA GARI BUNJU 'A' , KUZIKWA LEO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4wtdGS2Zm9CK88JI*QY2QsOfHip4fFVf1cBCI2i8DwlSCdIwlM*SjiA3txGHTxh6I9aVFD8QZEjlkef2-sM5azP/UPASUAJI.jpg)
MAMA: KIPIGO CHA BABA YAKE KIMESABABISHA MTOTO AFANYIWE UPASUAJI WA KICHWA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s72-c/Mohamed%2BMtoi.jpg)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUSHOTO KWA CHAMA CHA CHADEMA MOHAMMED MTOI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA GARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hK40Tw8fbBA/VfT-XdeDLwI/AAAAAAABVGU/lET4u0Vxl2I/s640/Mohamed%2BMtoi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbJBh7I_UsY/VfT-ou140dI/AAAAAAABVGc/rwvnSDmrjMw/s640/IMG-20150912-WA0193.jpg)
Mungu aiweke roho ya Marehemu Mohamed Mtoi Kanyawana mahali Pema Peponi
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Mazishi ya Mrakibu wa Polisi Capt.Kidai Senzala aliyefariki katika ajali ya Helikopta Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-gXcoiEzJLEQ/VH8C_XjtKxI/AAAAAAAAZAg/oABAYMYYA5E/s1600/IMG-20141203-WA0016.jpg)
Maafisa wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es Salaam wakielekea katika makaburi ya familia huko Gonja Maore Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro Desemba 1, 2014.
Marehemu Kidai alikuwa Mrakibu wa Polisi na alizikwa kwa heshima zote za Kipolisi ikiwa ni kupigiwa mizinga na saluti mbalimbali za kipolisi kabla na baada ya maziko yake.
Helkopta...