MH. MWIGULU NCHEMBA ASITISHA SAFARI YAKE KWA MUDA ILI KUOKOA MAJERUHI KATIKA AJALI YA GARI
Naibu Waziri wa Fedha,Mh.Mwigulu Nchemba akiangalia sehemu aliyokuwa amebanwa Kondakta wa Gari hilo (pichani) lililopata ajali jana katika barabara kuu ya Dar - Iringa kutokana na kugonga Ukuta pembezoni mwa Barabara hiyo.
Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Mwigulu Nchemba akizungumza na Kondakta wa lori hilo lililopata ajali mara baada ya Kumnasua kwenye roli hilo.Kijana anaonekana kuugulia maumivu makali kwenye Mkono.
Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Mwigulu Nchemba akitoka huduma ya Kwanza kwa Majeruhi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MWIGULU NCHEMBA ACHOTA BARAKA KWA MAMA MARIA NYERERE KUELEKEA SAFARI YAKE YA URAIS NCHINI TANZANIA
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11406979_386332024902365_4698001188933200188_n.jpg?oh=500a57b877576035f5a57c381c9a3e83&oe=55E8877C)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/11193412_386332064902361_9214561011273346723_n.jpg?oh=0f69913e6e68d7c3332a84405b373619&oe=56341B80&__gda__=1442607199_2747114624345b9a2c0d1d6bf3c89226)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/1533917_386331931569041_4647035940470781229_n.jpg?oh=6284edb270f6958768a48f448403524a&oe=55EBF0E4)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/549334_386331978235703_607676068783465974_n.jpg?oh=9648c7ae7c020d107a722928c8968295&oe=562DC6D5&__gda__=1445357014_f3661b24bab0ae0c311a7fef51926130)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10418219_386332004902367_3127175902239240001_n.jpg?oh=b0a3a92696e62b865d3b36f22e5d4ef4&oe=55E8D901)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7poKQa18E_4/default.jpg)
MWIGULU NCHEMBA ADHAMINIWA,KATAVI,RUKWA NA MBEYA,SAFARI YAKE BADO INAENDELEA
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/11146479_391422491059985_8296776495952843903_n.jpg?oh=80d344e6cdc8aed60245427a6012c2b4&oe=55F61215)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/11252681_391422571059977_5130698239471132414_n.jpg?oh=5742d542be7a5df7370bc99ad4682f5f&oe=55F92D4A)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/11228105_391715061030728_2948079398585458811_n.jpg?oh=ed4b9b62e9965a776eeb433bf882a2f6&oe=55F536DC)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/11407154_391715111030723_8270636422076386483_n.jpg?oh=2c43a4f8a681cc5647bf282302b32e5a&oe=55F168B2)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/11137186_391714861030748_6863566340050628741_n.jpg?oh=6cbd9629e0fbc13d8a489effa39cecd1&oe=55EA3912)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s72-c/unnamed+(94).jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-aFPJwxwIGQk/U4nbdJC3EmI/AAAAAAAFmuI/w4uL-DwXyYI/s1600/unnamed+(94).jpg)
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Watu watano wanusurika katika ajali ya gari katikati ya jiji la Dar es Salaam muda huu!
Pichani ni min bus iliyokuwa na namba T 111 AAL, ikionekana imeharibika kwa mbele baada ya kugongana na gari aina ya Noah yenye namba T446DDJ iliyogongwa ubavuni. Min Bus ilikuwa na watu wanne hata hivyo katika ajali hiyo watu hao walipatwa na mishtuko pekee na maumivu kiasi. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Gari aina ya Noah linavyoonekana ubavuni baada ya ajari hiyo.. iliyotokea katikati ya jiji katika eneo la jirani na Bnki ya NMB House na Shirika la Bima ya Taifa la Afya..
9 years ago
Vijimambo01 Oct
MWIGULU NCHEMBA ATUA KWA WAMASAI SIMANJIRO,OPERATION YAKE YA KATA KWA KATA NI USHINDI WA KIMBUNGA KWA CCM
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/12036905_430927110442856_6921933778456533235_n.jpg?oh=680c0b5019224d69291c98acd21f1707&oe=5690F77A)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11059903_430927090442858_6669654298054949432_n.jpg?oh=4a5c0f7f536b69af1107c0f3fb9a26c7&oe=56A609E0)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12074830_430927220442845_5827432687429168397_n.jpg?oh=8502241df820530365c813950e7c50f6&oe=56A004C4)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Said Ali Juma mkazi wa Sogea, Unguja aliyelazwa chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Mnazimmoja, aliyepata ajali ya gari wakati akirejea kwenye mkutano […]
The post Balozi Seif awafariji majeruhi wa ajali ya gari appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-4s8OgFPQ_FE/XuTyVMkS-AI/AAAAAAAC7fA/Ps5acyguOTwqNHhxqcwTRG1QNErj5P2HACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AJALI YA GARI KUGONGA TRENI NA KUSABABISHA KIFO NA MAJERUHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4s8OgFPQ_FE/XuTyVMkS-AI/AAAAAAAC7fA/Ps5acyguOTwqNHhxqcwTRG1QNErj5P2HACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLmHX-0e60SGuzAxXBl03xjxMrOaAeBCCQ*Yv-P*tGPp4yLZ6ogRj24tcigZ-vjo2SUx*GXZOx5C0VJBninig8k/BREAKING.gif)
MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA UNAIBU KATIBU MKUU CCM ILI KUWANIA URAIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgJIXYLYOfNr6QbtLLQx7PJdkEqL4XqKl5JVXZpbVH-qsaS0kkPjCuiuE0C626rdLfj84CHDthKgKZalvFAb*jw/AJALI1.jpg?width=650)
MTOTO ALIVYOOMBOLEZA KIFO CHA MAMA YAKE ALIYEFARIKI KATIKA AJALI YA GARI ARUSHA