MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA UNAIBU KATIBU MKUU CCM ILI KUWANIA URAIS
![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLmHX-0e60SGuzAxXBl03xjxMrOaAeBCCQ*Yv-P*tGPp4yLZ6ogRj24tcigZ-vjo2SUx*GXZOx5C0VJBninig8k/BREAKING.gif)
Mwigulu Nchemba. ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba amejiuzulu nafasi hiyo ili awanie nafasi ya kugombea urais na nafasi yake imechukuliwa na Rajab Luhavi aliyekuwa mshauri wa rais katika siasa. Mwigulu amabye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo jioni katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mkoani Dodoma. Akithibitisha taarifa hiyo, Katibu wa NEC,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 May
MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA UNAIBU KATIBU MKUU WA CCM
Mwigulu Nchemba amejiuzulu nafasi yake ya Naibu Katibu Mkuu CCM ili kupisha agombee Urais na akishindwa atarudia nafasi ikimpendeza M/kit.Nafasi ya Naibu Katibu Mkuu CCM iliyokuwa imashikiliwa na Mwigulu Nchemba imechukuliwa na ndugu Rajab Luwavi.
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM, RAJABU LUHWAVI ACHUKUA NAFASI YAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uEN0ud5qVLA/VWIdxsTctZI/AAAAAAAAuUA/ZL8q_-IjSL0/s72-c/Mwigulu%2BNchemba.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXUToPxwc6pcMqxD-0nPBgGvqcO8JwpUK9FdOgyF0k-IBsJWUVxTNp1EO*XnUcWJy*PZA-HcKczLm8PmvFPt-yUg/mwigulu.jpg?width=650)
MWIGULU NCHEMBA NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/S514UVXoyWM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rlHB5qxDYdQ/VWsdOWBs1DI/AAAAAAAAUYU/4LZQcMcjNG0/s72-c/mwigu2.jpg)
MWIGULU LAMEK NCHEMBA NAYE ATANGAZA KUWANIA URAIS WA TANZANIA, AKIWA MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-rlHB5qxDYdQ/VWsdOWBs1DI/AAAAAAAAUYU/4LZQcMcjNG0/s640/mwigu2.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 May
MWIGULU NCHEMBA KUTANGAZA NIA JUMAPILI HII YA KUWANIA URAIS,TANZANIA ITASIMAMA KWA MASAA 3 PALE DODOMA
![](http://api.ning.com/files/LWw0InctTwlR6kkyGUlVXhaUcgbpKMmsY7Tf9fXMdGz37vCWox1iPrxWH*LF*kK9BFeXrCpArhXyx3Iiye0mfeuQhFx3uEsG/315407_114564585412445_342326531_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jul
Wamtaka Katibu wa CCM kuacha kumbeba kwa mbeleko Mwigulu Nchemba
Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida David Jairo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya madai yao ya kugomea kuendelea na mchakato wa kura za maoni hadi msimamizi wa uchaguzi ambae ni Katibu wa CCM Wilaya ya Iramba, Mathias Shidagisha aondolewe kwenye zoezi hilo, kushoto ni Amon Gyunda.
Mmoja wa wagombea wa Ubunge Jimbo la Iramba, Mkoani Singida, Juma Killimbah, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye ofisi za chama cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uxGn21PoPEM/default.jpg)