MADAI MAZITO MAMA AMUUA MTOTO
![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9B74-zwzbZkbxc1aWpX3Daduttt-2pDrym1Di7LE2mwZ2Lcx-MHlDYMTQv6no1n7s0MAN0kLXgTFK7-q8jMPMh/yyakukojoa.jpg)
Stori: Kulwa Mwaibale WAKATI wanaharakati wanaendelea kupiga kelele kuhusu kushamiri kwa vitendo vya unyanyasaji kwa watoto duniani kote, mwanamke aliyetajwa kwa jina la Amina Hamis, mkazi wa Kata ya Kwembe, Malamba Mawili Kitongoji cha Mpakani, Kinondoni jijini Dar ametiwa mbaroni kwa madai ya kumuua kwa kipigo mtoto Munili Omar (6). Kaka wa marehemu (Munili Omary), Omary akiwa kwenye msiba wa mdogo wake. Tukio hilo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovCKQtfaKKE6Oln2-oMeNFW7xygv4wJgC-U02*-K1o*ZLTP*WT*Gu1LQqGxpyU763r3uqSgHnBhQNZeff8I7k5Nn/mainda.jpg?width=650)
MADAI MAZITO...MAINDA MJAMZITO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3LMHhNcLVJQ8kg1xLn*TPI0HBF7JQul6CXJwhvZYTZFJmtOLypxFebGDbErD5Occ2r-EC588aQ8kc33x4t0MaJV/RisasiJumamosifrontpdf.jpg)
MADAI MAZITO: UTAJIRI WA ZARI MAGUMASHI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW22XiO7sOnkN793mQLrJ4eFrsAtChFUDVfuao*hmUL-Tb1C12Rb03TNjGyXZDO9Eliix*Tq1zhleuYz8FJlj17C-/kajala.jpg)
MADAI MAZITO; KAJALA AMHARIBU MWANAYE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXZ4aShKMnvkMWURBjPySOO313EFl48Y8eGbuHZnj9YSMH-5u5ZfgUYXPDPyQ5F5HYk4Rxk47faj3uCbzJn3Sgsu/BACKAMANI.jpg)
MADAI MAZITO: MCHUNGAJI ATOROSHA MKE WA MTU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe6N--e*QBbg1rwpNCeapG9ZTTX7v2rAg7Wy*bScmL1PbYO--R4kbrWFImGhZZSVEJdc0nCTSobR29nc*Ze1-UDz/10.jpg)
MADAI MAZITO ROSE NDAUKA, RICHIE WARUDIANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slcrUBN4gL4csmO6YyHrYMYV-tFb6OpoI1c5aMlumpFqKSyPZtDJ3j72amtiNSl79XSgo1wusvdERzGJBePGINj9/FRONTJUMAMOSI1.jpg)
MADAI MAZITO: ROSE MUHANDO ATUNDIKWA MIMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zYbOSlfPdB0h4pzstbEXvqdtZhu4lIAIVf3chNKToajRXniGmxvSIRVYz13eMF3LqdWJI8Dt5VQet4NtZ*tkKgj/FRONTIJUMAA.gif)
MADAI MAZITO: AUNT ANASA MIMBA NJE YA NDOA
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Amuua mtoto wa kambo, ajiua
MWANAKIJIJI wa Mbuye, wilayani Chato, mkoani Geita, Alone Said (25), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kambo, Angelina Dickson, wa mwaka mmoja na miezi minane kwa...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Mtoto amuua mama’ke kisa mali
Mume wa marehemu akiwa pembeni ya mwili wa mkewe.
Na Dustan Shekidele, UWAZI
MOROGORO: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Kijana Said Ally Mwinyimvua anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro akidaiwa kumuua kwa kumcharanga mapanga mama yake mzazi, Sikuzani Said (70), kisa kikidaiwa kuwa ni kunyimwa wali (ubwabwa) na kupewa mdogo wake, Abass ambaye ni mziwanda, Uwazi linakupasha.
Tukio hilo lililoacha majonzi, lilijiri wiki iliyopita nyumbani kwa familia hiyo, Kijiji cha Kungwe,...