MADAI MAZITO; KAJALA AMHARIBU MWANAYE!

Brighton Masalu MSALA! Kuna madai mazito yanayosema kuwa nyota wa filamu Bongo, Kajala Masanja ambaye alizaa na ‘prodyuza’ mkali wa muziki wa kizazi kipya, Paul Matthyssen ‘P Funk’ anamharibu mtoto wao anayefahamika kwa jina la Paula. Nyota wa filamu Bongo, Kajala Masanja. Chanzo ambacho pia ni rafiki wa karibu wa familia ya bosi huyo wa Bongo Records, kinasema wazazi hao hivi sasa wako katika mvutano mkubwa kutokana na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
MAMA KANUMBA AFICHUA MAZITO YA RAY, MWANAYE
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Mama Lulu Funguka Mambo Mazito Kuhusu Mwanaye!
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili...
11 years ago
GPL
MADAI MAZITO...MAINDA MJAMZITO
11 years ago
GPL
MADAI MAZITO MAMA AMUUA MTOTO
10 years ago
GPL
MADAI MAZITO: UTAJIRI WA ZARI MAGUMASHI
10 years ago
GPL
MADAI MAZITO ROSE NDAUKA, RICHIE WARUDIANA
11 years ago
GPL
MADAI MAZITO: MCHUNGAJI ATOROSHA MKE WA MTU!
10 years ago
GPL
MADAI MAZITO: ROSE MUHANDO ATUNDIKWA MIMBA
10 years ago
GPL
KAJALA, MWANAYE GUMZO MLIMANI CITY