Mama Lulu Funguka Mambo Mazito Kuhusu Mwanaye!
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg-kz*w0ZQSf-U4t0JopuN26s*n9dKAwHQeiDRlxmBo9ajMtTKAw33xADRNhDVw*8vIKiyYbTousfxoulY1Qwk8X/mamak.jpg)
MAMA KANUMBA AFICHUA MAZITO YA RAY, MWANAYE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo6H5ZG64yCbDkv8OvcGWOIn-HGkw6ZehzCZTbLJPhGwyYdFQF8YTbAnPDEGMX7pJh4-ttz9os1h6eyIi7sFCGlX/fghhhh.gif?width=650)
MAMA LULU ATAMANI MWANAYE AFE TU!
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Dr. Slaa ameibuka tena kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kusema mambo mazito kuhusu Lowassa.
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Wilbroad-Slaa-620x368.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-01.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-02.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-03.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-04.jpg)
![](http://udakuoriginal.com/wp-content/uploads/2015/08/Dr-Slaa-Tweet-05.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW22XiO7sOnkN793mQLrJ4eFrsAtChFUDVfuao*hmUL-Tb1C12Rb03TNjGyXZDO9Eliix*Tq1zhleuYz8FJlj17C-/kajala.jpg)
MADAI MAZITO; KAJALA AMHARIBU MWANAYE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd663jEhKGB4A0J-lu-B1gFW8xsH9IHFLQuoBKMf*2dA7b1-MOxL*MzN5TPT-kH35n6i-gzeUsu6LXbAufardOTK9A/LULU.jpg)
GARI LA LULU LAIBUA MAZITO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPx5jvyg8qp681JRtHgXINf7LbPfS1yUK7UmNNICrpzPBfcLmo*dSSmbSBHZGC9-UgESKkD4fAnyyDAgKeHIQZmW/lulu.jpg?width=650)
LULU: KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-ICPGTpQhO18/U6mpgVvsvSI/AAAAAAAABQU/1VpcVl92QuM/s72-c/Acting+Minister+for+Finance.jpg)
Mambo mazito
Serikali yasema misamaha ya kodi imetosha CAG kuchunguza iliyoingiwa na wawekezaji Kodi ya PAYEE, ukomo wa mikweche palepale
SERIKALI imesema haitapunguza zaidi kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi (PAYE) kwa sasa kutokana na ongezeko la mishahara lililofanywa kwa wafanyakazi wa sekta ya umma hivi karibuni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ICPGTpQhO18/U6mpgVvsvSI/AAAAAAAABQU/1VpcVl92QuM/s1600/Acting+Minister+for+Finance.jpg)
Aidha serikali imesema umri wa magari yatakayoruhusiwa kisheria kuingizwa nchini utaendelea kuwa miaka minane badala ya 10 kama ilivyopendekezwa kwenye bajeti ya serikali.
Msimamo huo...
11 years ago
Mtanzania02 Aug
Ukawa, CCM mambo mazito
![Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, akiongoazana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, January Makamba (kushoto), nje ya Hotel ya Sea Cliff wanapofanya kikao pamoja na wajumbe wa Ukawa. Picha ndogo ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, akiwahi katika kikao hicho jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mtanzania-020814.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, akiongoazana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, January Makamba (kushoto), nje ya Hotel ya Sea Cliff wanapofanya kikao pamoja na wajumbe wa Ukawa. Picha ndogo ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, akiwahi katika kikao hicho jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fidelis Felix.
Na Patricia Kimelemeta
KIKAO cha kutafuta maridhiano kuhusu mchakato wa Katiba mpya kilichofanyika jana baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...