GARI LA LULU LAIBUA MAZITO
![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd663jEhKGB4A0J-lu-B1gFW8xsH9IHFLQuoBKMf*2dA7b1-MOxL*MzN5TPT-kH35n6i-gzeUsu6LXbAufardOTK9A/LULU.jpg)
Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo MAKUBWA! Mambo yamekuwa mambo, kadi ya gari jipya la staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ imeibua mazito kufuatia Jeshi la Polisi Dar es Salaam kubaini kuwa namba ya Sanduku La Posta (SLP) iliyoandikwa kwenye kadi hiyo ni Wizara ya Mambo ya Ndani Tanzania. Gari ya staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ aina ya Toyota Rav...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Sakata la makontena 2,431 laibua mazito
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QgF49CmXFSb-nMPFVhu5rNB2eDY7lUF-EPWAFeqpd7ijFbRY-jMO7Ohye2xXPrqPm74Kk05Vo*PTjKD0aZD7eaVXCmR5m7ns/DUDE.jpg)
GARI LA DUDE LAIBUA MSALA MAPYA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPx5jvyg8qp681JRtHgXINf7LbPfS1yUK7UmNNICrpzPBfcLmo*dSSmbSBHZGC9-UgESKkD4fAnyyDAgKeHIQZmW/lulu.jpg?width=650)
LULU: KAMA SI KANUMBA YANGENIKUTA MAZITO
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Mama Lulu Funguka Mambo Mazito Kuhusu Mwanaye!
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Agizo la JK Kilosa laibua mapya
KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani hapa kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi,...
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
11 years ago
Michuzi13 Mar