Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GARI LA DUDE LAIBUA MSALA MAPYA!

Stori: Mayasa Mariwata Kumbe! Lile gari aina ya Toyota Vitz la staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ambalo hivi karibuni lilikamatwa kwa msala wa kuhusika na ujambazi jijini Dar, limeibua mapya likiwa bado linashikiliwa na polisi kwenye Kituo cha Kijitonyama a.k.a Mabatini. Habari za kifukunyuzi zinadai kwamba ndinga hilo si mali ya Dude kama ilivyoelezwa awali, bali ni la mwanamke...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Agizo la JK Kilosa laibua mapya

KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani hapa kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi,...

 

10 years ago

GPL

GARI LA LULU LAIBUA MAZITO

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo
MAKUBWA! Mambo yamekuwa mambo, kadi ya gari jipya la staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ imeibua mazito kufuatia Jeshi la Polisi Dar es Salaam kubaini kuwa namba ya Sanduku La Posta (SLP) iliyoandikwa kwenye kadi hiyo ni Wizara ya Mambo ya Ndani Tanzania. Gari ya staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ aina ya Toyota Rav...

 

11 years ago

GPL

GARI LA DUDE LAKAMATWA DAR KWA UJAMBAZI

Stori: waandishi wetu
GARI la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ limekamatwa na Polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama Mpakani usiku wa saa 5.15 Julai 21 mwaka huu. Gari la dude muda mfupi baada ya kukamatwa, Dude alitokea Polisi. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, gari hilo aina ya Vitz lenye namba za usajili T 360 BAJ, lilikutwa...

 

11 years ago

Bongo5

Dude azungumzia taarifa za gari lake kuhusishwa na tukio la ujambazi

Baada ya gari la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ kukamatwa na polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama, amezungumzia nini kinaendelea kwenye madai hayo. Akizungumza na Bongo5 leo, Dude amesema kuwa ni kweli gari yake imedaiwa kuhusishwa na tukio hilo lakini uchunguzi unaendelea wa kuwatafuta wahusika […]

 

10 years ago

GPL

MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI

Haruni Sanchawa na Shani Ramadhani/Uwazi LILE sakata la mauaji ya mteja wa gari aliyekutwa amefukiwa katika nyumba moja Ilala Sharifu Shamba jijini Dar, Farahan Habusali Maluli (31) limeingia katika sura mpya baada ya mkewe, Tatu Ally (29) kuelezea mambo mapya juu ya tukio hilo la kusikitisha. ...Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi. Akizungumza na Uwazi juzi nyumbani kwake, Maramba Mawili, Kinondoni, Dar, Tatu alisema mumewe...

 

11 years ago

GPL

HUU NI MSALA!

Stori: Makongoro Oging’ Kibano! Wanawake wawili, wakazi wa jijini Dar wamekumbwa na bonge la msala baada ya kutiwa mbaroni na kikosi kazi (task force) cha kudhibiti na kupambana na madawa ya kulevya ‘unga’ ambapo wamekamatwa na mzigo huo wenye thamani ya mamilioni ya shilingi, Ijumaa Wikienda limenyetishiwa. Agness Jerad Musaa. Taarifa zilizodakwa na gazeti hili kutoka ndani ya jeshi la polisi na...

 

10 years ago

GPL

BONGE APATA MSALA!

Richard Bukos na Issa Mnally Mwanamke mmoja mwenye umbo la miraba minne ambaye unaweza kumuita Bonge baada ya jina lake kutopatikana mara moja, wikiendi iliyopita alifikwa na msala mkubwa alipo bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi. Chanzo chetu kilidai kuwa Bonge huyo alikuwa na wenzake wakitoka kwenye kicheni party, walipofika maeneo ya Sinza-Afrika Sana jijini Dar, aliwachenga wenzake na baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani