MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI
![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7Oo0Oxyvaq9yVMM01ypjzDiA6gKOtHGd13D92qWGt1zQ2Oqmw56cOACeyrxkN-QEsTjH8kSBw5XLXcynYZDcOfK/BACKUWAZI.jpg?width=650)
Haruni Sanchawa na Shani Ramadhani/Uwazi LILE sakata la mauaji ya mteja wa gari aliyekutwa amefukiwa katika nyumba moja Ilala Sharifu Shamba jijini Dar, Farahan Habusali Maluli (31) limeingia katika sura mpya baada ya mkewe, Tatu Ally (29) kuelezea mambo mapya juu ya tukio hilo la kusikitisha. ...Mtuhumiwa akiwa chini ya ulinzi. Akizungumza na Uwazi juzi nyumbani kwake, Maramba Mawili, Kinondoni, Dar, Tatu alisema mumewe...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Feb
MAUAJI YA MTEJA WA GARI. Ndugu wasimulia
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mauwaji-12feb2015.jpg)
Mapya yameibuka katika mauaji ya Farahan Maluli (30), anayedaiwa kuuawa na rafiki yake ambaye ni mtoto wa bosi wake baada ya ndugu wa marehemu kuzungumzia jinsi marehemu alivyokuwa akitoa fedha kwa mtuhumiwa wa mauaji hayo.
Ndugu wa marehemu walifichua siri hiyo wakati wakizungumza na NIPASHE kwenye mazishi ya kijana huyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0SxA2QwjgD0KAMKH4Y2Ffgy5idfBJlWKtsXlj8z4Y0kCSv5nlnsg-efbryGxQThxaEGiXGGb0SQPP7jSbKpH*dy/sakata.jpg)
SAKATA LA MKE WA BARLOW, MAPYA YAIBUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeDQnfkr5U3mqjW4eu*ItsQEIXnVz7KfBDI-H1jSRlSRrsn3l9bOQR3uf*BdIddJqXlP33PD6ezEAXJUXbCyiZYI/mke.jpg?width=650)
SAKATA LA MGAGA WA DIAMOND: MKE WA MWENYE GARI LILILOIBWA AIBUKA, AFUNGUKA
10 years ago
StarTV03 Feb
Airtel yazindua promoseni mteja kujishindia gari.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam.
Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel imezindua promosheni ya Airtel Yatosha zaidi ambapo wateja wanaotumia vifurushi vya Airtel yatosha watapata fursa kujishindia gari aina ya IST lenye thamani ya Shilingi milioni 15.
Promosheni hiyo ambayo itafanyika katika kipindi cha miezi miwili imelenga kutoa zawadi ya gari moja kila siku kwa wateja wake waliojiunga na kifurushi cha siku, wiki na mwezi.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Airtel Beatrice...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNVSS0ZURoY7Zvkfv2UoGgAeHb6*oafCvG4WzhWtLmQGqchTj0j0ir2vpQ-tyyYqCAgM3XVQwInNhGOwzkSbzfzF/mmateso.jpg)
MKE ASIMULIA MATESO ALIYOPATA YP
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Mteja kakasirishwa na bili hotelini, akaamua kuingiza gari mpaka meza ya mapokezi ndani (+Video)
Hasira hasara… hasira ya huyu jamaa ilianzia kwenye mzigo wa bili ya huduma aliyosogezewa baada ya kuhudumiwa katika hoteli moja Marekani, akaona poa hamna namna, maamuzi yake ikawa ni kutoka nje ya mgahawa na kuingia ndani gari yake kwa hasira. Ishu nzima ilinaswa na camera ya CCTV, Oklahoma Marekani, mzee aliyefanya tukio hilo ni John Parsley ambaye […]
The post Mteja kakasirishwa na bili hotelini, akaamua kuingiza gari mpaka meza ya mapokezi ndani (+Video) appeared first on...
10 years ago
MichuziMteja wa Benki ya NBC Tawi Bukoba akabidhiwa zawadi kubwa ya gari la Promosheni ya Weka Upewe
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Sakata la kampeni za kuwania urais 2015 lazidi kuibua mapya CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QgF49CmXFSb-nMPFVhu5rNB2eDY7lUF-EPWAFeqpd7ijFbRY-jMO7Ohye2xXPrqPm74Kk05Vo*PTjKD0aZD7eaVXCmR5m7ns/DUDE.jpg)
GARI LA DUDE LAIBUA MSALA MAPYA!