SAKATA LA MGAGA WA DIAMOND: MKE WA MWENYE GARI LILILOIBWA AIBUKA, AFUNGUKA

Stori: Sifael Paul Lile sakata la kukamatwa kwa yule mganga wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya kwa msala wa wizi wa gari, limechukua sura mpya baada ya mke wa mwenye gari, Edric Magayane kuibuka na kufunguka mazito. Mganga wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya. Akizungumza na gazeti hili, mke huyo aliyejitambulisha kwa jina la...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
MKE ASIMULIA MAPYA SAKATA LA MAUAJI YA MTEJA WA GARI
11 years ago
BBCSwahili03 Sep
Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda
11 years ago
Habarileo04 Aug
Mbaroni akidaiwa kukutwa na gari lililoibwa Dar
POLISI mkoani Manyara imemkamata mkazi wa mjini Babati, Rajabu Marobo (30) ikimtuhumu kuhusika na wizi wa gari lililoibwa jijini Dar es Salaam.
11 years ago
GPL
MWENYE PICHA NA KOMBA AIBUKA
10 years ago
Habarileo24 Nov
Pinda afunguka sakata la Escrow
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.
11 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Hussein Machozi afunguka sakata la kufumaniwa Kenya
MWANAMUZIKI aliyoibuliwa na wimbo wa ‘kwa ajili yako’ Hussein Machozi amefunguka na kuelezea tukio la kufumaniwa na mke wa mwanasiasa nchini Kenya na kudai kuwa jambo hilo halina ukweli wowote....
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Mke wa Dk Slaa afunguka
11 years ago
Habarileo15 Jan
Sakata la gari la wagonjwa lavunja mkutano
WAKAZI wa Kata ya Mtowisa mkoani Rukwa wamegomea mkutano wa hadhara baina yao na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, wakishinikiza gari la wagonjwa lirejeshwe kwenye kituo chao cha afya.