Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda
Maafisa wakuu wa Interpol wamethibitisha kuwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya lililoibwa mjini Nairobi wiki jana limepatikana nchini Uganda
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Aug
Mbaroni akidaiwa kukutwa na gari lililoibwa Dar
POLISI mkoani Manyara imemkamata mkazi wa mjini Babati, Rajabu Marobo (30) ikimtuhumu kuhusika na wizi wa gari lililoibwa jijini Dar es Salaam.
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Gari la pili la wavamizi lapatikana Paris
Polisi wa Ufaransa wamelipata gari la pili linalofikiriwa lilitumika katika mashambulio ya Ijumaa usiku mjini Paris.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeDQnfkr5U3mqjW4eu*ItsQEIXnVz7KfBDI-H1jSRlSRrsn3l9bOQR3uf*BdIddJqXlP33PD6ezEAXJUXbCyiZYI/mke.jpg?width=650)
SAKATA LA MGAGA WA DIAMOND: MKE WA MWENYE GARI LILILOIBWA AIBUKA, AFUNGUKA
Stori:Â Sifael Paul
Lile sakata la kukamatwa kwa yule mganga wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya kwa msala wa wizi wa gari, limechukua sura mpya baada ya mke wa mwenye gari, Edric Magayane kuibuka na kufunguka mazito. Mganga wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya. Akizungumza na gazeti hili, mke huyo aliyejitambulisha kwa jina la...
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Bomu lapatikana kanisani Kenya
Waumini katika kanisa moja nchini Kenya wanakila sababu ya kumshukuru mola wao baada ya bomu iliyokuwa imetegwa ndani ya kanisa kupatikana wakati wa ibada.
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Kaburi la halaiki lapatikana Kenya
Wakaazi wa mji wa Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya wanasema wamegundua zaidi ya miili 20 yaliyozikwa kwenye makaburi ya jumla.
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Ni gari la polisi au Rais lililoibiwa Kenya?
Taarifa za kutatanisha za kuibiwa kwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta zimeibuka nchini humo, ingawa zimekanushwa.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Wezi wa gari la Rais Kenya mahakamani
Watu 5 akiwemo raia 1 Uganda pamoja na fundi wa magari mkenya wamekamatwa kwa wizi wa gari la msafara wa ulinzi wa Rais Kenyatta
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Uganda yazindua gari lisilotumia petroli
Uganda imezindua gari maalum la kipekee katika kanda ya Afrika mashariki maarufu kama hybrid electric car.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Lori lenye kahawa lililoibwa lasakwa
Polisi nchini wameanzisha uchunguzi utakaofanikisha kukamatwa kwa lori la Burundi lililoibwa Dar Es Salaam likiwa na shehena ya magunia 300 ya kahawa kutoka Burundi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania