Kaburi la halaiki lapatikana Kenya
Wakaazi wa mji wa Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya wanasema wamegundua zaidi ya miili 20 yaliyozikwa kwenye makaburi ya jumla.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Kaburi la kamanda wa LRA lapatikana
Jeshi nchini Uganda linasema kuwa limegundua mabaki ya kamanda wa cheo cha juu wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army LRA.
10 years ago
BBCSwahili24 May
Wahamiaji:Kaburi la pamoja lapatikana
Utawala nchini Malaysia unasema kuwa umegundua kaburi la pamoja karibu na kambi za kusafirisha watu kimagendo zilizoachwa karibu na mpaka kati ya nchi hiyo na Thailand.
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Bomu lapatikana kanisani Kenya
Waumini katika kanisa moja nchini Kenya wanakila sababu ya kumshukuru mola wao baada ya bomu iliyokuwa imetegwa ndani ya kanisa kupatikana wakati wa ibada.
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda
Maafisa wakuu wa Interpol wamethibitisha kuwa gari la ulinzi wa Rais wa Kenya lililoibwa mjini Nairobi wiki jana limepatikana nchini Uganda
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Rinda la Lupita lapatikana
Polisi nchini Marekani wanasema kuwa wamepata nguo wanayoamini iliibwa kutoka kwa chumba cha hoteli cha Lupita Nyongo
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Gari la pili la wavamizi lapatikana Paris
Polisi wa Ufaransa wamelipata gari la pili linalofikiriwa lilitumika katika mashambulio ya Ijumaa usiku mjini Paris.
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
Jen Ndindiliyimana hakusika na mauaji ya halaiki-UM
Mahakama ya Umoja wa Mataifa kuhusu mauaji ya halaiki nchini Rwanda imemuondolea lawama aliyekuwa mkuu wa polisi Augustin Ndindiliyimana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania