Jen Ndindiliyimana hakusika na mauaji ya halaiki-UM
Mahakama ya Umoja wa Mataifa kuhusu mauaji ya halaiki nchini Rwanda imemuondolea lawama aliyekuwa mkuu wa polisi Augustin Ndindiliyimana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Jen.Traore ajitangaza rais Burkina Faso
Mkuu wa Jeshi la Burkina Faso jenerali Honore Traore sasa amejitangaza kuwa rais baada ya kujiuzulu kwa Blaise Compaore
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Kaburi la halaiki lapatikana Kenya
Wakaazi wa mji wa Mandera, Kaskazini Mashariki mwa Kenya wanasema wamegundua zaidi ya miili 20 yaliyozikwa kwenye makaburi ya jumla.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mpigania ukombozi wa Afrika Brig Jen Mbita afariki dunia
Katibu mtendaji wa iliyokuwa Kamati ya Ukombozi Kusini mwa Afrika, Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82), amefariki dunia jana saa tatu asubuhi katika Hospitali ya Jeshi, Lugalo, Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziViongozi mbalimbali nchini Msumbiji wamkumbuka Brig. Jen. Hashim Mbita
![](http://2.bp.blogspot.com/-v6ux9QaHF0o/VUPH8C6zIqI/AAAAAAAHUgU/kvvGhIOOrI4/s1600/Untitled11.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iyF0GhNdXRY/VUPH8CrpObI/AAAAAAAHUgY/qH6NrhM2eac/s1600/Untitled111.png)
5 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU MPYA WA MSD BRIG. JEN MHIDIZE AWASILI OFISINI
Mkurugenzi Mkuu mpya wa MSD Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize amepokelewa ofisini kwake, Keko Dar es Salaam na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa MSD Bw. Laurean Bwanakunu.
Aidha Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize, amekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Bohari ya Dawa (MSD).
Brig. Jen. Dkt. Gabriel Sauli Mhidize aliteuliwa tarehe 3 may,2020 na Rais John Magufuli kushika nafasi hiyo.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Makomandoo, halaiki watia fora sherehe za Muungano
Tanzania jana iliadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar huku viongozi wa upinzani wakisusia sherehe hizo za mwisho katika utawala wa Rais Jakaya Kikwete ambazo, makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), walitia fora.
11 years ago
Mwananchi04 May
Walalamikia posho kiduchu kucheza halaiki Zanzibar
Wanafunzi 200 wa shule za msingi Zanzibar walioshiriki kucheza halaiki ya maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wamelalamika kulipwa viwango vidogo vya posho kulinganishwa na wenzao kutoka Tanzania Bara.
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Jeshi la Nigeria lilizika 300 katika makaburi ya halaiki
Majeshi ya Nigeria yalizika zaidi ya miili 300 ya wasilamu wa Shia katika makaburi ya halaiki -Human Rights Watch
5 years ago
MichuziMAKABURI YA HALAIKI YENYE MAITI 6000 YAPATIKANA BURUNDI
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.
Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.
Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.
Pierre Claver...
ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.
Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.
Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.
Pierre Claver...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania